cetterhutter
Senior Member
- Sep 5, 2017
- 167
- 75
Nahitaji kwenda Zanzibar kununua simu na laptop used kutoka nje nasikia kule ni bei rahisi. Mliowahi kwenda kule naomba mwongozo.
Naomba nijue maeneo wanapouza hivyo vitu kwa jumla pia naomba nijue kodi zikoje wakati wa kurudi.
Ni hayo tu, naombeni ushirikiano wenu.
Naomba nijue maeneo wanapouza hivyo vitu kwa jumla pia naomba nijue kodi zikoje wakati wa kurudi.
Ni hayo tu, naombeni ushirikiano wenu.