You guy can't be serious.Naomba msaada kwa mwenye kujua namba hii ya tccl 0222128620 ambayo ni ya dar es salaam
ilinipigia jana jioni, nimejaribu kuitafuta naona kama ni ya fax vile, nahofia nisije kukosa usahili
nilikuta missed call mbili nilikuwa nimeiacha simu
china hiyo
Ni utoto ndio unaokusumbua!!! Nina imani ukikuwa utaacha!!!
sijui huko UDBS career centre ndo wapi, maana sisi ni wazee wa kutupia tuHIYO NAMBA NI YA UDBS CAREER CENTRE KAMA ULISHAWAHI KUOMBA FIELD AMA KAZI.BASI LEO WENZIO NDIYO WALIKUWA WAMEITWA KWENYE INTERVIEW MIDA YA SAA NANE. KAMA NI MHUSIKA TOKA UDBS JITAHIDI UENDE UDBS ROOM NO. 324 KWA MAELEZO ZAIDI.
Hope nimekujibu.
Si umeshauriwa na bampami cha kufanya nenda kwanza uwasikie af ndo utajua ka ni riziki au sionawashukuru wote kwa ushirikiano, ila ndo hivyo tena itakuwa sio riziki, simu sikuiacha kwa makusudi nlikuwa
nimeweka kwenye chaji.
nimeamini hapa jukwaan ni mwisho wa matatizoHIYO NAMBA NI YA UDBS CAREER CENTRE KAMA ULISHAWAHI KUOMBA FIELD AMA KAZI.BASI LEO WENZIO NDIYO WALIKUWA WAMEITWA KWENYE INTERVIEW MIDA YA SAA NANE. KAMA NI MHUSIKA TOKA UDBS JITAHIDI UENDE UDBS ROOM NO. 324 KWA MAELEZO ZAIDI.
Hope nimekujibu.
sijui huko UDBS career centre ndo wapi, maana sisi ni wazee wa kutupia tu
yaah hapo kweli niliomba, dah, sasa hawa mbona wanakuwa kama sio wasomi vile,
unapigiwa simu leo ili ufanye usahili kesho yake! sasa sisi wa mikoa ya mbali tutaweza kweli?
Akufukuzae hakwambii toka!!!