Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Habari wana Jf doctor?
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda wa kama wiki sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem za siri (njia ya haja kubwa), nimejaribu ku2mia sabun tofaut lakn wapi, naombeni kwa mwenye ujuzi wa dawa au sabun za muwasho anisaidie
Nipo chuoni so natumia mabafu na vyoo vyakushare(watu wengi)...
Ngoja niingie kwenye maada moja kwa moja, kwa muda wa kama wiki sasa nimekuwa nikiwashwa sana sehem za siri (njia ya haja kubwa), nimejaribu ku2mia sabun tofaut lakn wapi, naombeni kwa mwenye ujuzi wa dawa au sabun za muwasho anisaidie
Nipo chuoni so natumia mabafu na vyoo vyakushare(watu wengi)...