meckwizo
Member
- Jan 17, 2017
- 51
- 16
Vp mkubwa ulipona ndugu,uniambie dawa uliyotumiaHabari wakuu,
Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?
Natanguliza shukraan
Sent using Jamii Forums mobile app
Vp mkubwa ulipona ndugu,uniambie dawa uliyotumiaHabari wakuu,
Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?
Natanguliza shukraan
Safi sana mkuuMkuu hiyo ni minyoo sugu hata mimi imewahi kunisumbua sana achana na matapeli nenda kwa wamasai kuna dawa waambie unataka dawa ya kuharisha ila wasikupe ya poda kuna ya miti hiyo miti utaichemsha na kinywa glasi moja ndani ya dakika kumi utaharisha minyoo nusu kikombe cha chai bei zao ni elfu tatu tu.kama unakaa tabata nitafute nikupereke pale buguruni karibu na ofisi za tigo kwa huyo apienipa dawa.
ndugu nami nipe hyo dawa nina tatizo kama hilo na nimetumia dawa za minyoo lakini haikusaidiaNi PM nikupe maelekezo mkuu. Nilikuwa na tatizo km hilo lkn sasa hv limekwisha kabisa. Ikiwezekana weka no yako ya cm
vipi kiongozi ulipona hilo tatizo unipe dawa na mimi nasumbuliwa hivyohivyoMie ni mwanaume mkuu, na sidhan kama ni tatizo la magonjwa ya ngono, bt ntajaribu mjumbe ushaur wako.