Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

Hata minyoo huleta tatizo la hiyo miwasho,hivyo jaribu pi kutumia dawa za minyoo
 
Mkuu hiyo ni minyoo sugu hata mimi imewahi kunisumbua sana achana na matapeli nenda kwa wamasai kuna dawa waambie unataka dawa ya kuharisha ila wasikupe ya poda kuna ya miti hiyo miti utaichemsha na kinywa glasi moja ndani ya dakika kumi utaharisha minyoo nusu kikombe cha chai bei zao ni elfu tatu tu.kama unakaa tabata nitafute nikupereke pale buguruni karibu na ofisi za tigo kwa huyo apienipa dawa.
Safi sana mkuu
 
Back
Top Bottom