Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
- Thread starter
- #21
Fuata huu ushauri manake hautakudhuru kitu. Nenda dukani sasa hivi kama hujanywa chai. Nunua dawa ya minyoo broad spectrum (yaani inayoua minyoo yote) afu utumie. Usile kitu for 1 hour. Jizoeze kunywa dawa ya minyoo kila miezi 6. Haiambukizwi, ni hayo makachumbari ya kwenye vyepe.
Kama bado nenda dispensary ya chuo,soi umekatwa hela ya matibabu?
poa dadaangu, ntajitahd kwe kesho asubuh nipate vidonge kabla cjatia kitu kwa 2mbo.