Msaada: Kuwashwa njia ya haja kubwa

huwa inasababishwa na minyoo ya aina fulani jina nimelisahau ambao hutaga mayai eneo hilo na hivyo mayai hayo husababisha muwasho....kuna dawa fulani ya kupaka inaitwa preparation ni ya tube itafute uwe unapaka na vilevile unywe dawa ya minyoo
 
huwa inasababishwa na minyoo ya aina fulani jina nimelisahau ambao hutaga mayai eneo hilo na hivyo mayai hayo husababisha muwasho....kuna dawa fulani ya kupaka inaitwa preparation ni ya tube itafute uwe unapaka na vilevile unywe dawa ya minyoo

okey asante sana, nitafatilia
 
wakat ukipaka dawa hiyo aliyokwambia Isabella bac jitahidi unapomaliza haja kujikausha maji pawe pakavu maana hao virus wanapenda sehem yenye umaji maji,,,,,,,,na kipindi kama hicho uwe unabadilisha nguo za ndan na kupiga pasi
 
Hata mm nimesumbuliwa sna,Nimetumia dawa zaminyoo bila mafanikio,Baada ya kwenda CENTALIA CLINIC,niliambia Vidonda vya tumbo ndivyo vinavyo sababisha,Nikapewa dawa mpaka sasa cjasumbuliwa tena.hiyo hospitari ipo Ntaki bovu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hata mm nimesumbuliwa sna,Nimetumia dawa zaminyoo bila mafanikio,Baada ya kwenda CENTALIA CLINIC,niliambia Vidonda vya tumbo ndivyo vinavyo sababisha,Nikapewa dawa mpaka sasa cjasumbuliwa tena.hiyo hospitari ipo Ntaki bovu

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
asante sana kwa info
 
kadhalika yawezekana choo chako kigumu sana halafu kikubwa. Michubuko ni lazima
 
Habari wakuu,

Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?

Natanguliza shukraan
 
Kama inatekenya, au kama unahisi kuna vitu vinatembea ujue minyoo....., Sorry, kama tigo iliwahi tumika nayo inaweza kuwa sababu...... Wazo zuri ni kwenda hospital
 
Kama inatekenya, au kama unahisi kuna vitu vinatembea ujue minyoo....., Sorry, kama tigo iliwahi tumika nayo inaweza kuwa sababu...... Wazo zuri ni kwenda hospital

Haitekenyi mkuu, ila ni muwasho unaoambatana na utelezi, kuhusu kutumika kwa tigo hapana haijawai kutokea, ila akhsante kwa ushauri wako mkuu..
 
hospitali mkuu. nadhani unywe dawa zozote za minyoo ziwe za asili/miti shamba au dukani. pia olivera yaweza saidia...chukuwa majani yake chemsha kunywa, ule ukali minyoo yote kufa
 
Habari wakuu,

Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?

Natanguliza shukraan

Mkuu hiyo ni minyoo sugu hata mimi imewahi kunisumbua sana achana na matapeli nenda kwa wamasai kuna dawa waambie unataka dawa ya kuharisha ila wasikupe ya poda kuna ya miti hiyo miti utaichemsha na kinywa glasi moja ndani ya dakika kumi utaharisha minyoo nusu kikombe cha chai bei zao ni elfu tatu tu.kama unakaa tabata nitafute nikupereke pale buguruni karibu na ofisi za tigo kwa huyo apienipa dawa.
 
Mkuu hiyo ni minyoo sugu hata mimi imewahi kunisumbua sana achana na matapeli nenda kwa wamasai kuna dawa waambie unataka dawa ya kuharisha ila wasikupe ya poda kuna ya miti hiyo miti utaichemsha na kinywa glasi moja ndani ya dakika kumi utaharisha minyoo nusu kikombe cha chai bei zao ni elfu tatu tu.kama unakaa tabata nitafute nikupereke pale buguruni karibu na ofisi za tigo kwa huyo apienipa dawa.

Nashukuru mkuu Mimi huu ni mwaka wa tano, kila dawa nnazotumia zinamaliza tatzo kwa mda alafu linarudi tena..ntaenda buguruni kuchek maana ni mitaa nnayokatiza kila Siku. Akhsante sana mkuu
 
hospitali mkuu. nadhani unywe dawa zozote za minyoo ziwe za asili/miti shamba au dukani. pia olivera yaweza saidia...chukuwa majani yake chemsha kunywa, ule ukali minyoo yote kufa

Mkuu alovera nimetumia sana, lakin bado tatzo alijapona..akhsante kwa ushaur wako
 
Habari wakuu,

Kuwashwa kwenye njia ya haja kubwa baada ya kujisaidia, nini tatizo na tiba yake?

Natanguliza shukraan

La kukuongeza inawezekana unakula sana nyama nyekundu na huli mboga za majani na matunda na kunywa maji ya kutosha kama tatizo sio hilo ijue ni minyoo na kama wewe ni dume najua nguvu za kiume huna mkuu.na inawezekana unakula unga uliokobolewa sana.tatizo hilo mwisho wake ni kansa ya utumbo mpana.nitafute nikushaure buree.
 
Back
Top Bottom