Wa Kwilondo
JF-Expert Member
- Sep 15, 2007
- 1,081
- 312
Wadau naomba msaada kajua kama kuna uwezekano wa internet kwenye blackberry verizon. Mitandao yote ya simu nimeenda wanadai haiwezekani.
Wadau naomba msaada kajua kama kuna uwezekano wa internet kwenye blackberry verizon. Mitandao yote ya simu nimeenda wanadai haiwezekani.
Inawezekana,install Operamini utaweza kusurf net kama kawaida!
Ni kweli hiyo haiwezekani kwa sababu verizon hizo cm wamezifunga kuna chip wameweka kwenye circuit hauwezi kufanya utundu wowote
Download Blackberry Desktop Manager halafu Download na Operamini then install.Search humu kuna thread inahusu kutumiaMkuu Operamini kivipi? Sijakuelewa