Inahusiana na databases,kwenye
makampuni inatumika kuhifadhi, statistical data eg surveys,au company details,.ni nzuri.,kwa ada sifahamu,nilifundishwa wakati nafanya kazi bonite bottlers,walimu walitoka udsm.
Ni nzuri sana kwa ajili ya mambo ya utafiti wanaoijua kuitumia ni wachache na watu wa masoko wengi hawajui kutumia takwimu ,ukiisoma utaweza hata kuandika ripoti ni course nzuri pia inabidi uwe karibu na makampuni ya utafiti
Inahusiana na databases,kwenye
makampuni inatumika kuhifadhi, statistical data eg surveys,au company details,.ni nzuri.,kwa ada sifahamu,nilifundishwa wakati nafanya kazi bonite bottlers,walimu walitoka udsm.
tembele a ucc(university computing centre) mkuu,
1.waweza google ukaona website yao. (ucc mlimani).
2.ada ni 155000 kwa weekend course na 300000 kwa weekdays.
3.muda ni miezi mitano.
Soma u wont regret ni hayo tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.