Msaada juu ya kutambua ipad nzuri yenye quality ya juu na duka linalouza kwa bei rahisi hapa dar

IPad Air 2 iuzwe laki 3 una masihara nadhani sio iPad Kama wataka original iPad nenda mlimani City niliwahi kuona wana original brands za iPad ukiingia upande wa nakumat Kama unaenda ofisi za voda tigo iPad shop utaliona kabla ya hizo ofisi

wapi umeona kumeandikwa ipad air 2 kwa laki 3?
 
hii nimeipenda chifu mkwawa,je bei na namna ya kuipata hata huko duniani
elimu kama ipi?

zipo chache naziona asus t100 na acer click series pamoja na ya tecno. wafanyabiashara wetu wengi hawajanza kuzileta kwa wingi. bei za hizo ni around 600,000.

ila huko duniani zipo as cheap as dola 70 (around 150,000) zenye ram 1gb na around 300,000 zenye ram 2gb.

ila inawezekana zipo madukani kwetu ila tu sijaziona
 
hiyo hapo chini
elimu kama ipi?

zipo chache naziona asus t100 na acer click series pamoja na ya tecno. wafanyabiashara wetu wengi hawajanza kuzileta kwa wingi. bei za hizo ni around 600,000.

ila huko duniani zipo as cheap as dola 70 (around 150,000) zenye ram 1gb na around 300,000 zenye ram 2gb.

ila inawezekana zipo madukani kwetu ila tu sijaziona

sasa hivi kuna tablets mpya za windows ambazo nyingi ni 2 in 1, kwa muono wangu hizi ndio best sababu unaweza itumia kitandani au juu ya kochi kama tablet ya kawaida kusomea, kuangalia movies nk na pia unaweza itumia kama laptop pale unapokuwa ofisini au kuhitaji kufanya vitu serious kama photoshop na office apps.
P_setting_fff_1_90_end_500.png
na sababu ni touch na zina kalamu software za creative kama 3d modelling na image editing zinazidi kuwa nzuri.

Code:
[B][COLOR=#000000]Chifu mkwawa[/COLOR][/B]
,tupe elimu kuhusu hii kitu na bei na kama ni bongo wapi pa kuzipata
 
swali refu kweli.

tuanze na misconception.
zinaitwa tablet na sio ipad. ipad ni brand name ya apple. unaposema ipad ni kama unasema galaxy au note. na ndo hapo unapata ipad 2 au samsung galaxy note 10.

kama kwako bei si kigezo kikubwa bali unaangalia quality nakushauri nunua ipad sababu ndio tablet bora zaidi, ina apps nyingi na pia zinafaa kwa kazi.

tablet kubwa za watu wa kawaida ni inch 10 na zipo za samsung, apple na makampuni mengine.

hizi zinatofautiana ubora kutokana na miaka zilipotoka mfano ipad air ni bora kuliko ipad 4, ipad 4 ni bora kuliko ipad 3 na ipad 3 ni bora kuliko ipad 2.

kuhusu hizo wifi, 4g na 3g
hizi ni connection zitakazokufanya wewe utumie internet. na sababu umesema unapenda kuingia net itabidi uziangalie kwa makini.

tablet yenye wifi tupu ina maana itaingia internet mahala penye wifi tu na haitaingia line za simu. ila yenye wifi +3g ina maana itaingia line za kawaida kama za voda na airtel na pia itaingia wifi.

4g kwa sasa hatuna coverage kubwa tanzania hii ina speed kuliko zote lakini nategemea mwaka 2014 nchi yetu kuanza kupata 4g kwa wingi hivyo sio mbaya ukawa nayo akiba kwa sasa hadi hapo itapokuja.

ipad/tablet yenye wifi tupu huwa ni bei rahisi kuliko yenye mobile data na kuingia line (3g na 4g) hivyo usishangae ya wifi tupu kuambiwa laki 3 na nusu na ya 3g na wifi kua laki 5.

kuhusu bei hizi ipad zinarange kutokana na toleo

1. ipad ya kwanza
2. ipad 2
3.ipad 3
4. ipad 4
5. ipad air

ipad ya kwanza ni rahisi zaidi na ipad air ni bei ghali zaidi.


sehemu pa kuzipata wadau wengine wataongezea ila kuna moja jukwaa la matangazo inauzwa. ni ipad 2 wifi tupu kwa laki3 na nusu, wifi na 3g kwa laki 5
Naomba msaada ninayo iPad 3+wifi,lkn whatsapp haikubali kudownload tatizo linaweza kuwa ni lipi mdau naomba huo msaada
 
swali refu kweli.

tuanze na misconception.
zinaitwa tablet na sio ipad. ipad ni brand name ya apple. unaposema ipad ni kama unasema galaxy au note. na ndo hapo unapata ipad 2 au samsung galaxy note 10.

kama kwako bei si kigezo kikubwa bali unaangalia quality nakushauri nunua ipad sababu ndio tablet bora zaidi, ina apps nyingi na pia zinafaa kwa kazi.

tablet kubwa za watu wa kawaida ni inch 10 na zipo za samsung, apple na makampuni mengine.

hizi zinatofautiana ubora kutokana na miaka zilipotoka mfano ipad air ni bora kuliko ipad 4, ipad 4 ni bora kuliko ipad 3 na ipad 3 ni bora kuliko ipad 2.

kuhusu hizo wifi, 4g na 3g
hizi ni connection zitakazokufanya wewe utumie internet. na sababu umesema unapenda kuingia net itabidi uziangalie kwa makini.

tablet yenye wifi tupu ina maana itaingia internet mahala penye wifi tu na haitaingia line za simu. ila yenye wifi +3g ina maana itaingia line za kawaida kama za voda na airtel na pia itaingia wifi.

4g kwa sasa hatuna coverage kubwa tanzania hii ina speed kuliko zote lakini nategemea mwaka 2014 nchi yetu kuanza kupata 4g kwa wingi hivyo sio mbaya ukawa nayo akiba kwa sasa hadi hapo itapokuja.

ipad/tablet yenye wifi tupu huwa ni bei rahisi kuliko yenye mobile data na kuingia line (3g na 4g) hivyo usishangae ya wifi tupu kuambiwa laki 3 na nusu na ya 3g na wifi kua laki 5.

kuhusu bei hizi ipad zinarange kutokana na toleo

1. ipad ya kwanza
2. ipad 2
3.ipad 3
4. ipad 4
5. ipad air

ipad ya kwanza ni rahisi zaidi na ipad air ni bei ghali zaidi.


sehemu pa kuzipata wadau wengine wataongezea ila kuna moja jukwaa la matangazo inauzwa. ni ipad 2 wifi tupu kwa laki3 na nusu, wifi na 3g kwa laki 5
Ninaweza kutumia kwaajili ya kusomea chuo??
 
Mambo vipi mdau naomba nikuulize, huvi Ipad ambayo haisapoti kupigiwa simu wala kupiga, kazi zake ni zipi maana ninayo hapa nashindwa matumizi yake naona kama sina faida nayo naingia fb, instagm, jmiiforums twitter, sasa kazi nyingine ya Ipad ni ipi tofauti na hizo?
kazi zipo nyingi sana mkuu, inategemea na unachotaka.

-kudownload movies, miziki, picha na kuplay hizo movies
-kucheza games
-ku edit documents mbali mbali kama za microsoft office (word, excel, powerpoint)
-kusoma vitabu mbalimbali (pdf, html, txt, epub etc)
-kufanya simple video editings
-itumie kama monitor au tv ndogo
-kama una smart tv itumie kama deki ya kuangalizia video mbali mbali na kustream online website kama youtube.

mwisho wa siku itategemea na matumizi yako na unataka ifanye nini.
 
chuo narecomend sana kifaa cha windows kama laptop. android na ios zina mapungufu mengi sana ambayo yatakusumbua chuo.
Nje ya mada Chief maana itabidi nikikamate hapa hapa kwenye corridor ukiingia ofisini tabu kupataikana.
Mkuu mimi nafahamu ku sketch kwa pad na pencil lakini ningependa kwenda level nyingine katika utumiaji vifaa vya kuchorea hasa zile pad/tablet.
Unaweza kure commend aina nzuri za pad tena zenye software nzuri at agfordable price?
Natanguliza shukrani
 
Nje ya mada Chief maana itabidi nikikamate hapa hapa kwenye corridor ukiingia ofisini tabu kupataikana.
Mkuu mimi nafahamu ku sketch kwa pad na pencil lakini ningependa kwenda level nyingine katika utumiaji vifaa vya kuchorea hasa zile pad/tablet.
Unaweza kure commend aina nzuri za pad tena zenye software nzuri at agfordable price?
Natanguliza shukrani

kwenye digital sketching si kila kalamu ni sawa, zipo aina nyingi ila maarufu zaidi ni wacom,

hivyo utabidi utafute tablet inayotumia kalamu za wacom, na windows ni os nzuri kwenye kuchora.

mfano toshiba encore 2 write ina wacom na windows
Toshiba%20Booth%20(1)_678x452.jpg
 
kwenye digital sketching si kila kalamu ni sawa, zipo aina nyingi ila maarufu zaidi ni wacom,

hivyo utabidi utafute tablet inayotumia kalamu za wacom, na windows ni os nzuri kwenye kuchora.

mfano toshiba encore 2 write ina wacom na windows
Toshiba%20Booth%20(1)_678x452.jpg
Mkuu ahsante sana sasa hiyo wacom model ipi bora ambayo ni bei rafiki
 
Mkuu ahsante sana sasa hiyo wacom model ipi bora ambayo ni bei rafiki
hio niliotaja hapo juu "toshiba encore 2 write"

bei yake ilikuwa $350 now naona hadi $250 zinapatikana, ipo asus vivotab 8 yenye kalamu pia kuna wakati hadi $150 inapatikana sema nafkiri ni kalamu ya kawaida sio wacom.

na ukitaka kujilipua kuna wachina hadi $80 unapata tablets zao.
 
Waku
IMG_20181030_162600.jpg
IMG_20181030_162600.jpg
IMG_20181030_162600.jpg
Wakubwa nina simu ya meizu m5 imepasuka kioo nitapata wapi kioo kingine complete, naombeni mnisaidie
 
Back
Top Bottom