Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
we unayesema GPS za gogle unazijua? uctumie ujanja kxtafumba watanzania. if u dont have experience do not ful people
Umeshinda mkubwa yaani naona na wewe kwa kujiamini umezindua screen name mpya kwa jili ya kujibu comment hii
Lakini ni kweli najua kidogo Google map invoyofanya kazi inatumia IP adress. Na IP address ya simu sio Unique. Internet Ip adress moja inaweza kutumiwa na wateja zaidi hata ya 100. Kuna itu kinaitwa NAT( Netword Adress Translation) ndio inawezesha hilo. Na bado Kuna Proxy.
Hakuna shida kwa kuonyesha u fool wangu nikiuonyesha na wewe ukauona ukiliza wangu wangu wewe ndio inanisaidia kuelimishwa .
So acha uchoyo mwaga nondo. How does Google map and Google GPS works?
Edson said:jana nadhani ulinielewa kweye pm mkuu...haya mambo si uchawi...
Haya mkuu hope mleta mada atajua ukweli