Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,304
- 29,843
Hiki ni kitu cha kawaida kweli au jamaa kachanganyikiwa, nikimpigia simu kila siku anauliza wewe Nani? Hii hali nikaona ni dharau tena kubwa Sanaa Nikajaribu kumuuliza kwann hausevu namba yangu akasema hataki kuhifadhi namba yoyote Ile zaidi ya namba ya mke wake tu
Leo nimehakiki ni kweli, nimechukua simu yake nikamwambia aniazime nimpigie mtu yangu imekata salio, leo nione Je kweli huwa hasevu namba za watu? Kuja kucheki contact nimekuta moja tu kasave my 'dream" nikajua ni wife
Ukweli ni kuwa hana simu mbili ni hii hii Sasa najiuliza kama hasevu namba mbona anaishi maisha magumu sana maana Kuna mda anapata shida ya kuongea na wengine Sasa anafanyaje??
Leo nimehakiki ni kweli, nimechukua simu yake nikamwambia aniazime nimpigie mtu yangu imekata salio, leo nione Je kweli huwa hasevu namba za watu? Kuja kucheki contact nimekuta moja tu kasave my 'dream" nikajua ni wife
Ukweli ni kuwa hana simu mbili ni hii hii Sasa najiuliza kama hasevu namba mbona anaishi maisha magumu sana maana Kuna mda anapata shida ya kuongea na wengine Sasa anafanyaje??