Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,289
Babu M ............nna wasi wasi hukijui unachokitafuta. maandazi ya kubonyea ndio hayo hapo kwenye linki pamoja na picha na recipe na namna ya kutengeneza.................unless wewe unataka kufundishwa kaimati
(au ramadhani inakuja umekumbuka kaimati? maana hichi chakula sana kinapikwa wakati huo)
(au ramadhani inakuja umekumbuka kaimati? maana hichi chakula sana kinapikwa wakati huo)