Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,249
Nimetoka kumeet na dada mmoja hivi, ananiomba ushauri, maana yeye hata hajui what to do. Nimeona niwashirikishe, in short mkasa uko hivi,
Huyu dada yupo na bf wake kitambo tu, yeye bado yupo university while her bf ana kazi nzuri tu katika kampuni moja ya simu kubwa nchini. five months ago alipata mimba bf wake akainsist sana waitoe mimba dada wa watu kwa shingo upande akaitoa. Sasa leo nilipokuwa naongea naye ameniambia kuwa ana mimba nyingine na bf wake yupo mad anataka abortion itake place. Mdada kagoma kutoa mimba anadai alipo abort first tym she's been feeling guilt. Binti hataki kwenda nyumbani na mimba pekee, unless wanaenda na jamaa kujitambulisha or harudi kabisa home maana home kwao nako hakupo gud. Alianza dada mtu kapata mimba nyumbani wakampokea kwa shingo upande mama pressure ikiwa juu kidogo, miez mi13 iliyopita mdogo wao wa mwisho naye kapata mimba mzazi nusura apagawe (mzazi ana kisukari) sasa now ni huyu wa katiati, yeye mwenyewe amepanga kutorudi nyumbani kuhofia kumuumiza zaidi mzaz wake. Mi nimemwambia asiporudi hom ndo atamuua mzaz wake bila chenga. Akanambia then hajui wat to do but hayupo tayar kuabort na kalia bati msimamo wake. Nimemwambia amwambie mchizi wake aende kujitambulisha kwao faster but msela hataki hiyo kitu( Binti kafikia kwa msela jijini na home kwao wanajua binti bado yupo chuo mkoani.)
Jamani msaada wa mawazo.., anatia huruma sana wandugu..
Mwambie huyo dada asithubutu kuitoa hiyo mimba, naomba ailee na ajifungue salama halafu huyo mtoto mimi nitamu-adapt!. Kwa maelezo zaidi waweza kuni-PM.