Habari wana JF.
Naombeni ushauri kwa mafundi au yeyote anayeweza kujua tatizo la gari langu.
Nina gari aina ya Hirrier vijana wanaita (matako ya nyani). Gari hili nimenunua mwishoni mwa mwaka 2018.
Takribani miezi mitatu, gari lilianza tatizo la kushtuka stuka (inakita) ukiwa mwenye mwendo. . Nilimleta fundi (niliambiwa ni mzuri) akaitazama na akasema tatizo ni control box. Suala la control box ikafanyiwa kazi.
Tatizo halikuisha. Fundi wa pili akaja akasema tatizo ni valve chaser nayo tukarekebisha. Tatizo halijaisha. Mbaya zaidi sasa hivi nikiweka reverse gear, gali halirudi mpaka nikanyage mafuta.
Fundi wa tatu ananiambia nibadilishe engine. Sasa kabla sijaendelea kupoteza fedha zingine, nimeona nije humu JF naweza kupata ushauri wa kitaalam.
Aksanteni
Naombeni ushauri kwa mafundi au yeyote anayeweza kujua tatizo la gari langu.
Nina gari aina ya Hirrier vijana wanaita (matako ya nyani). Gari hili nimenunua mwishoni mwa mwaka 2018.
Takribani miezi mitatu, gari lilianza tatizo la kushtuka stuka (inakita) ukiwa mwenye mwendo. . Nilimleta fundi (niliambiwa ni mzuri) akaitazama na akasema tatizo ni control box. Suala la control box ikafanyiwa kazi.
Tatizo halikuisha. Fundi wa pili akaja akasema tatizo ni valve chaser nayo tukarekebisha. Tatizo halijaisha. Mbaya zaidi sasa hivi nikiweka reverse gear, gali halirudi mpaka nikanyage mafuta.
Fundi wa tatu ananiambia nibadilishe engine. Sasa kabla sijaendelea kupoteza fedha zingine, nimeona nije humu JF naweza kupata ushauri wa kitaalam.
Aksanteni