Asante mkuu....
kuna ushauri mwingine??
Dah hebu ngoja na mimi niwasubili wajuvi wa mambo, maana hata mimi nakeleka tunanunuwa hizi BB kwa gharama kubwa lakini zinakosa service ndogo kabisa kama redio.
Una uwezo wa kusikiliza Radio online kwenye BB yako lakini tambua kuwa gharama hazito-involve subscription ya Blackberry Internet Service ambayo umeifanya. Huwezi kusikiliza Radio online kama huna intaneti.
kama ni hivyo kwa nini simu za bb zina gharama, na hazina service nzuri
kama ni hivyo kwa nini simu za bb zina gharama, na hazina service nzuri
leading simu za gharama ni iphones , blackberry zimebaki jina tu!Dah hebu ngoja na mimi niwasubili wajuvi wa mambo, maana hata mimi nakeleka tunanunuwa hizi BB kwa gharama kubwa lakini zinakosa service ndogo kabisa kama redio.
Siyo lazima uchangie kama hauna wazo mbadala, hapa tunaelimishana huenda kuna software za kudownload ukapata redio kama watu wanavyoweka Tv card kwenye Computer na hakuna anayesema Tv ni Tv na Computer ni Computer. kama unaona uko sahii ni kwa nini simu ziwe na Media player? mbona husemi kwamba watu wanunuwe ipod? acha utoto.Mkuu si ununue mchina? au Radio Ndogo?? . Simu ni simu na redio ni redio.
Source please!!.....leading simu za gharama ni iphones , blackberry zimebaki jina tu!
Siyo lazima uchangie kama hauna wazo mbadala, hapa tunaelimishana huenda kuna software za kudownload ukapata redio kama watu wanavyoweka Tv card kwenye Computer na hakuna anayesema Tv ni Tv na Computer ni Computer. kama unaona uko sahii ni kwa nini simu ziwe na Media player? mbona husemi kwamba watu wanunuwe ipod? acha utoto.
naomba ufafanuzi zaidi mkuu.Una uwezo wa kusikiliza Radio online kwenye BB yako lakini tambua kuwa gharama hazito-involve subscription ya Blackberry Internet Service ambayo umeifanya.
kama ni hivyo kwa nini simu za bb zina gharama, na hazina service nzuri
naomba ufafanuzi zaidi mkuu.
Nijuavyo mimi almost application zota za bb zinatumia BIS
Mkuu streaming kwenye BB mfano Radio na Youtube gharama zake hazihusiani na BIS