ridhiwan
New Member
- Dec 27, 2010
- 3
- 0
Mimi ni kijana nina umri upatao miaka 20,ninasoma B.Sc IT nchini India ikiwa ndo semester yangu ya kwanza.Kuanzia nimefika chuoni nimekuwa na tatizo kubwa sana kwenye somo la programming na sio siri sitaki kubadilisha cousre sababu napenda sana Technology.Pili nina kama mwezi mmoja ilinifanye end term exam na mid term imenikamata mbaya nina 11 chini ya hamsini,nlikuwa naomba ushauri toka kwenu wakubwa kama material nzuri za kusoma na consellings wakuu...