Acheni
kuropoka,na
kukurupuka,tume
ya
uchaguzi
ndio
iliyopendekeza
jina
kutokana
na
taratibu
za
uchaguzi....!!!!
Chadema Morogoro wamebaki wakiwa sana yaani mkoa wote wamekosa mrithi wa Regia Mtema, mpaka atoke kwa kina Slaa?
Kuna sehemu nyingi tu hakuna wabunge wa Chadema wamekosa nafasi hiyo.
Tayari Karatu kuna mbunge wa Chadema, Mchungaji Israel Natse, anatosha wanakwenda kuwaongezea mbunge mwingine.
Wameshindwa kuwafariji watu wa Morogoro Chadema bana.
Nafasi hii kapewa naye Dr aingize wake baada ya mkewe.
Kwani Mh Ndesamburo amepewa nafasi ya Mtoto na Mkwe.
Mh mgombea urais wa Znz kupitia Chadema ametoa mtoto wa Dada yake.
Tindu lisu ametoa dada yake.
Padre Slaa ametoa mke na labda huyu mrithi wa Regia.
Mh Alfi -- hajapewa
Mh Zitto -- hajapewa.
Je kunani hapo? Dini au shares hazikutosha kwa Zitto na Alfi kupewa nafasi nao waweke wao?
ndio maaana tunasema viti maalum ni unafiki mtupu na upendeleo na ikhsani na fitna kubwa kwa jamii. mfikirie kuviondoa.
Watu wengi ni stupid siku hizi,wanapenda kubwabwaja bila kuwa na info za kutosha.
Mnaambiwa mchakato uliofanyika last year ndo huohuo,wanafuata mfululizo wa majina. Waliishia 25th na 26th aliasi chama na anayefuata atapewa nafasi. Sasa mnaleta maneno mengi kama kasuku tu...very stupid and boring.
Wasifu wake mojwapo ni ukaribu wake usio wa kawaida kati yake na aliyekuwa mgombea urais aliyeshindwa na kusema kura zake zimechakachuliwa
Kama vile Kawambwa alivyo mjomba wa Kikwete, eeh?Kama kawaida tena tumezidi kujionea Chadema ni chama cha Kaskazini..
Tukimfutilia sana huyu Cecilia Pareso, unaweza kukuta ni mjomba wake Slaa.
Usipoteze muda wako bure. Hawa watu ni ile caliber ya "don't confuse me with the facts. My mind is made up."RAJAO? Kwa taarifa yako hiyo ni NEC iliamua hivyo Jina limetokana na wabunge wa viti maalumu waliokuwa wamependekezwa katika uchaguzi mpya. Kwa hiyo hilo swala la kusini na kaskazini achana nalo.
Alafu hili lina ukweli ndani yake!
Fedha - Mkulo,
Mambo ya Ndani - Shamsi,
Afya - Hadji,
Ulinzi - Hussein,
Elimu - Shukuru,
etc..
Zitto anaye Muhonga Ruhwanya au unataka kuingiza DINI kidogo! Kule CUF Maalim ana Jussa?Nafasi hii kapewa naye Dr aingize wake baada ya mkewe.
Kwani Mh Ndesamburo amepewa nafasi ya Mtoto na Mkwe.
Mh mgombea urais wa Znz kupitia Chadema ametoa mtoto wa Dada yake.
Tindu lisu ametoa dada yake.
Padre Slaa ametoa mke na labda huyu mrithi wa Regia.
Mh Alfi -- hajapewa
Mh Zitto -- hajapewa.
Je kunani hapo? Dini au shares hazikutosha kwa Zitto na Alfi kupewa nafasi nao waweke wao?
ndio maaana tunasema viti maalum ni unafiki mtupu na upendeleo na ikhsani na fitna kubwa kwa jamii. mfikirie kuviondoa.
Suzan Kiwanga anatoka Kilombero kama Regia. VITI MAALUM havifai. Viti maalum ni mzigo kwa TAIFA.Chadema Morogoro wamebaki wakiwa sana yaani mkoa wote wamekosa mrithi wa Regia Mtema, mpaka atoke kwa kina Slaa?
Kuna sehemu nyingi tu hakuna wabunge wa Chadema wamekosa nafasi hiyo.
Tayari Karatu kuna mbunge wa Chadema, Mchungaji Israel Natse, anatosha wanakwenda kuwaongezea mbunge mwingine.
Wameshindwa kuwafariji watu wa Morogoro Chadema bana.
Acha hizo ndugu yangu. Unataka atoke mtwara ambako hawajaomba?Wanazidi kutudhihirishia kuwa hiki chama ni cha watu wa KASKAZINI!!!
Mhhhh!!!!........Ongezea na mkuu wa polisi, mkuu wa usalama wa taifa, CJ na pia angalia manaibu waziri.
Mhhhh!!!!........
Mkuu wangu Jasusi nawe umeingia kwenye mtego huu wa Udini!!!.....
Ni vizuri ukampuuza(kwa kutoquote/kumjibu) mtu anayeandika/kuleta ubaguzi wa aina yoyote humu uwe wa kidini,kikabila ama ukaanda......
Ubaguzi(Wa rangi,dini,kabila,kanda n.k) ni unyama....Chadema kwa udini na ukikanda inanifurahisha sana