Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
- Thread starter
- #21
chadema kimejipanga vyema,makamanda wote wako mstari wa mbele,mwanzo mwisho.
Wanazidi kutudhihirishia kuwa hiki chama ni cha watu wa KASKAZINI!!!
Sasa wewe unataarifa za uhakika halafu unaombe ssis tukupe cv yake?
Wanazidi kutudhihirishia kuwa hiki chama ni cha watu wa KASKAZINI!!!
duh, yaani kajiunga jana na anajifanya anaatarifa, pumbavuuuuu
Wanazidi kutudhihirishia kuwa hiki chama ni cha watu wa KASKAZINI!!!
Wanazidi kutudhihirishia kuwa hiki chama ni cha watu wa KASKAZINI!!!
Sina tatizo hata kidogo hata kama wabunge wote watatoka familia moja. Cha muhimu kwangu ni uwezo wa mbunge huyo. Ana sifa za kuwa mbunge? anafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi? ni mbunifu katika kutatua matatizo ya wananchi? Nadhani haya ndio muhimu ya kujadili badala ya kuangalia mahusiano au eneo analotoka kiongozi.
Sijui ni lini hii tabia imeanza lakini ni makosa makubwa sana kuteua viongozi kwa kuangalia maeneo, dini, etc? Kwenye baraza la mawaziri kuna watu ambao hawafai hata kuwa balozi wa nyumba 10 lakini inashangaza wamepewa Wizara nzima!
Kama kweli Bi Cecilia ameteliwa kuwa mbunge na hata kama ni kweli ana mahusiano na kiongozi yoyote hilo lisiwe hoja. Afanye kazi za uhakika, basi. And if it take a single familiy rather than 50 families to fix this country let it be.