Mrisho Ngassa amevunja mkataba na Free State sasa ni mchezaji huru

Sitaki kuamini ni kwa sababu hii tu, ndio mtu anaweza kuvunja mkataba. Huyu ni mchezaji ambaye alichelewa kwenda nje ya nchi hivyo haionekani kama ana shauku ya kufika mbali.

Kama kocha amekudharau na kukuweka benchi, kisha akakuingiza kipindi cha pili na ukacheza vizuri hadi baadae akakupongeza si maana yake umemprove wrong? Alitakiwa aendelee kukaza tu hadi kieleweke. Kuleta mambo ya kitoto wakati mtu ameshakua ni mambo ya ajabu sana.
 
Aje Yanga SC acheze Kimataifa... Naona dogo ana hamu na kupigania mafanikio ila Klabu yake haina Malengo hata ya kupigania yale ya Ligi..

Licha ya kuwa umeonyesha uzalendo, bado wana Yanga tunakukaribisha hapa Yanga kwa mikono miwili....

Njoo ustaafu ukiwa unanyanyua kwapa ukibeba ndoo ya Ligi kuu... 2016/17.

Dirisha dogo la usajili linakusubiri.
 
We famba kweli kwahiyo ulitaka nimtabilie kuchezea madrid. . Ngasa's football capacity is now limited he can't do more wonderful in world football of today!
Ongea kiswahili tu tutakuelewa Ngasa ni mchezaji mzuri tu huna sababu ya kumdhihaki
 
Arudi tu nyumbani hana anachokifanya huko, mwaka sasa hana ata goal 5 ata yy mwenyewe anaona aibu
 
Ajadhihakiwa anajadiliwa kwa uwezo alionao sina haja kusifia ujinga na kumwongezea vitu asivyo navyo.
Kuna wachezaji wengi sana wa kuwaombea kwa mungu ila ngasa aombewe na familia yake, huyu jamaa kichwani mwake waga anawaza mapenzi tu, yani me niache kumuombea samatta ambae tunaona juhudi zake nikae namuombea ngasa si ata mungu mwenyewe atashangaa coz ni wastage of dua. Na huyu anaesema tumuombee watakuwa miongoni mwa ndugu zake
 
Kuna wachezaji wengi sana wa kuwaombea kwa mungu ila ngasa aombewe na familia yake, huyu jamaa kichwani mwake waga anawaza mapenzi tu, yani me niache kumuombea samatta ambae tunaona juhudi zake nikae namuombea ngasa si ata mungu mwenyewe atashangaa coz ni wastage of dua. Na huyu anaesema tumuombee watakuwa miongoni mwa ndugu zake
Umeona heeeh! Mijitu mingine sijui ikoje eti nimwombee Ngassa kwa lipi mpuuzi kichwa maji anacheza mpira ili apate papuchi. Poor ngassa.
 
badilisha id iwe bigbooty,huwezi ombea mabaya kwa mtanzania mwenzako utakua na tatizo sehemu.
watanzania inabidi tuache upumbavu,mpira unahitaji mikiki na unyenyekevu,huyu kashazeeka na kiwango chake cha mpira kazoea wa jangwani.mpk sasa asharudishwa mara kibao toka timu za kimataifa,ashazoea yanga na upastaa ushuzi wa bongo.pale alitakiwa acheze kwa kiwango kumshawishi kocha kwamba yuko wrong.kocha hajakosea,bongo kuna mpira gani zaidi ya simba na yanga?
muda si mwingi tutamkuta vijiwe vya kahawa akisimulia alivyokuwa maarufu.
Adebayor ashakaa benchi sana itakua Ngasa.
 
Umeona heeeh! Mijitu mingine sijui ikoje eti nimwombee Ngassa kwa lipi mpuuzi kichwa maji anacheza mpira ili apate papuchi. Poor ngassa.
Ngasa ndio angekuwa shujaa wetu ata kabla ya samatta, tulimuombea sana kipindi kile anaenda kufanya majaribio westham, karudi na kutakiwa kufanyia marekebisho baadhi ya vitu katika mpira wake ye anarudi kuoa, na km angekuwa fighter na ana nia ya kucheza ulaya, angetulia na wakala wake na wangepata timu ata daraja la kwanza kabla ya kucheza EPL kwani westham ni club kubwa kwa uwezo wa ngasa, ye kazi kudanganya umri tu kila siku ye ana miaka 26 tu

Samatta ameshafanya majaribio mara kadhaa club za ulaya km fc porto na hakufanikiwa ila kwakuwa alikuwa na nia bado aliendelea ku fight na leo hii anacheza europa, mchezaji km huyu ndo wakumweka kweny dua ya jumapili au ijumaa maana anaonesha anapigania dua zetu, habari za kusifia ujinga zimeshapita, wamsifie wenye mahaba nae
 
Ngasa ndio angekuwa shujaa wetu ata kabla ya samatta, tulimuombea sana kipindi kile anaenda kufanya majaribio westham, karudi na kutakiwa kufanyia marekebisho baadhi ya vitu katika mpira wake ye anarudi kuoa, na km angekuwa fighter na ana nia ya kucheza ulaya, angetulia na wakala wake na wangepata timu ata daraja la kwanza kabla ya kucheza EPL kwani westham ni club kubwa kwa uwezo wa ngasa, ye kazi kudanganya umri tu kila siku ye ana miaka 26 tu

Samatta ameshafanya majaribio mara kadhaa club za ulaya km fc porto na hakufanikiwa ila kwakuwa alikuwa na nia bado aliendelea ku fight na leo hii anacheza europa, mchezaji km huyu ndo wakumweka kweny dua ya jumapili au ijumaa maana anaonesha anapigania dua zetu, habari za kusifia ujinga zimeshapita, wamsifie wenye mahaba nae
Muda wa kusifia ujinga umekwisha hakika ni jambo bora sana
 
Hakuna nidhamu kwa Ngasa na sio professional ameshawaza chips za jangwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom