Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,758
Mbunge wa Arusha mjini Mh Mrisho Gambo amemshukia kama mwewe Godbless Lema kwa kitendo chake cha kutukana bodaboda, mamalishe na machinga wote kwa kumuita ni zumbukuku asiyejua kipi cha kuongea na kipi asiongee mbele ya jamii.
Gambo amesema kuwa Lema amelewa hela za kupewa na mabeberu kwa hadhi ya ukimbizi wake feki.
Gambo amesema kuwa Lema amelewa hela za kupewa na mabeberu kwa hadhi ya ukimbizi wake feki.