Mrisho Gambo: Lema ni zumbukuku

Mbunge wa Arusha mjini Mh Mrisho Gambo amemshukia kama mwewe Godbless Lema kwa kitendo chake cha kutukana bodaboda, mamalishe na machinga wote kwa kumuita ni zumbukuku asiyejua kipi cha kuongea na kipi asiongee mbele ya jamii.
Gambo amesema kuwa Lema amelewa hela za kupewa hela na mabeberu kwa hadhi ya ukimbizi wake feki.

Siku hizi umekuwa bingwa wa propaganda. Unatengeneza stori ili kuwafurahisha kundi lako.
 
Lema ametoa mbadala gani kwa bodaboda? Au kuwatukana ndiyo solution?
Lema hana madaraka na alichokisema mbona kimeanza kusemwa miaka, viongozi hugawa hivyo vidude lakini hawawapi watoto au ndugu zao badala yake wanawajaza kwenye uongozi ndani ya CCM! Amka kijana kwani wameujua udhaifu wako.
Lema alichokifanya ni kuwaumbua viongozi wa CCM kwa kushindwa kuwaletea vijana ajira zenye tija ili nchi isonge mbele.
 
Lema hana madaraka na alichokisema mbona kimeanza kusemwa miaka, viongozi hugawa hivyo vidude lakini hawawapi watoto au ndugu zao badala yake wanawajaza kwenye uongozi ndani ya CCM! Amka kijana kwani wameujua udhaifu wako.
Lema alichokifanya ni kuwaumbua viongozi wa CCM kwa kushindwa kuwaletea vijana ajira zenye tija ili nchi isonge mbele.
Kutoa mbadala ni mpaka uwe kwenye madaraka? Mbona yupo kwenye madaraka lakini ameshindwa kujenga ofisi nzuri ya chadema?
 
Lema ni kilaza kwenye lipi?. Lema kawachallenge vijana wawe na mission ya mambo makubwa sio kila kijana anawaza betting na boda.
Kuwachalenge bila kuwapa mawazo mbadala ni ushamba mkubwa sana ,amekuwa mbunge kwa miaka 10 lakini hakuna alichowasaidia bodaboda
 
Kuwachalenge bila kuwapa mawazo mbadala ni ushamba mkubwa sana ,amekuwa mbunge kwa miaka 10 lakini hakuna alichowasaidia bodaboda
Atawasaidiaje kabla ya kuwachallenge?. Boda sio kazi ya kudumu, tafadhali. Hivyo asingeweza kusaidia kazi ambayo baada ya muda vijana wanakufa kwa kifua, kuuawa na ajali. Ndio maana kawaambia wasifikirie ubodaboda wafikirie kurusha satellite mwezini.

Serikali ndii yenye wajibu wa kutengeneza mazingira ya ajira kwa vijana. Billion 400 za pesa za vijana zimepotea , Nani atawasaidiaje vijana.
 
Mbunge wa Arusha mjini Mh Mrisho Gambo amemshukia kama mwewe Godbless Lema kwa kitendo chake cha kutukana bodaboda, mamalishe na machinga wote kwa kumuita ni zumbukuku asiyejua kipi cha kuongea na kipi asiongee mbele ya jamii.
Gambo amesema kuwa Lema amelewa hela za kupewa hela na mabeberu kwa hadhi ya ukimbizi wake feki.
Hopeless kabisa kabisa huyu jomba. Anaiogopa sana mikutano ndani ya jimbo lake. Alichobakiza ni kulalamika tu
 
Wewe ndio zumbukuku. Lema anajaribu kuichallenge Jamii ifikirie mambo makubwa sio betting na boda pekee. Kila kijana akimaliza form four anataka kuwa bodaboda. Tatizo mnataka watu wawe duni Ili muendelee kuwatawala.
Alishindwa kutumia lugha sahihi hadi aite shughuli halali kuwa ni laana hata kama ina matatizo mengi?tulishwaambiaga siku nyingi huyu nyumbu Lema arudi darasani akamalizie kidato cha nne
 
Back
Top Bottom