Hii ndio Tanzania mpya ya Magufuli
Sijaona kiongozi yeyote wa upinzani akikemea hili,, ndo majukumu yao haya wanaupinzaniKwao ccm ni Bora kuliko Tanzania na watanzania
Mchonga huko aliko anatamani afufuke
Hii ndio Tanzania mpya ya Magufuli
Sometimes it is better kukaa kimya..Bora Bavicha wakasafishe kwenye nyumba yao kuna uvundo