King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
kwani kazi ya bf ni ku-replace budget ya mdada? men can be very strange!
Hivi huyu jamani kama navaa viwalo vya 8m kwa mujibu wa yeye mwenyewe je kumtokea unahitaji uwe na ngawira kiasi gani? Hapo hajaongelea uwekezaji kwenye makalio, chuchu, na hata nani hii....