Mrembo Jack Patrick atoka na viwalo vya 8m

sasa akivaa we inakuhusu nn ? huo ushamba ! hapo ndo inabd ujpnde naww umzidi sio unamcfia 2 wakat ww huna ki2 zaid y iyo smartphone yko, fanya mamb umpte naw uvae vya 10m, pumbalavu ww
 
Dem kawa mjanja siku hizi miaka kadhaa iliyopita alikuwa mshamba mshamba pale njombe maeneo ya matalawe ila ni kitu fulani .5 cha ukweli! baba yake nasikia ni mwingereza aliyekuja na kampuni ya Balfour Beaty kujenga barabara ya makambako-songea, alimpa mimba m'bongo halafu akasepa kwa hiyo hawajuani na baba yake.

Alikua anaitwa jack mzungu enzi hizo
 
Dem kawa mjanja siku hizi miaka kadhaa iliyopita alikuwa mshamba mshamba pale njombe maeneo ya matalawe ila ni kitu fulani .5 cha ukweli! baba yake nasikia ni mwingereza aliyekuja na kampuni ya Balfour Beaty kujenga barabara ya makambako-songea, alimpa mimba m'bongo halafu akasepa kwa hiyo hawajuani na baba yake.

Huyu sio aliedakwa china na sembe au?
 
Sasa mnatuletea thread za watu wako jela si tungezungumzia hata kichaa yoyote ambae yuko mtaani?
 
Kuna msichana mmoja wa nchi za magharibi alifungwa nchi hizo baadaye akakutwa na mimba aliyoipata jela. Prison staff wa nchi hizo ni watu wabaya sana!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom