Mrembo aliyependeza leo kuliko wote humu ndani, njoo tutoke wote pamoja

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,483
40,498
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.

Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.

Nawatakia jumapili njema,

Nawasilisha.​
 
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.

Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.

Nawatakia jumapili njema,

Nawasilisha.​
Wewe ke au me tuanzie hapo kwanza maana siku hizi sizo!
 
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.

Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.

Nawatakia jumapili njema,

Nawasilisha.​

Warembo wako busy leo
 
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.

Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.

Nawatakia jumapili njema,

Nawasilisha.​
Hakuna vya bure huyo mrembo akitoka hapo nnyeye ajiandae kuwa red wine 😂😂😂
 
Nipo hapa kaunta, napata nyama kidogo huku nimeshikilia 'glass' ya 'red wine', nikitafakari kusudi la kuumbwa ulimwengu pamoja na viumbe vyake.

Sipendi kuwa mchoyo kwa sababu sijafunzwa hivyo; mrembo yeyote anayejiamini na kujiona amependeza kuliko wote, namkaribisha hapa meza kuu.

Nawatakia jumapili njema,

Nawasilisha.​
Neno TUTOKE lilitosha kabisa hapakuwa na haja ya kuongezea neno WOTE PAMOJA. Watu kama nyie ndo mnasababishaga vikao visisishe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom