Mrejesho: Kilichotokea baada ya mke wangu kurudi saa sita usiku

Extrovert Mie sikuelewa mkuu na siku na tatizo katika kitendea kazi kabisa! Mi ni yule mtu ambaye nilikuwa naweza kushughulika na mbususu mpaka zile cream za utamu zikamuisha bibie kisha inafika stage mazingira yanakuwa ya kiangazi na ukame then zoezi linaghairishwa sababu naanza A ila sifiki herufi Z kwa muda mrefu!
Katika mazingira hayo sikutaraji kama hilo lingeweza kuwa sababu bali ni umalaya wake mrembo tu!
Yaani Mkuu huu uzi umenipa maelimu makubwa hasa, yaani toka umeshushwa nikapata maarifa yenu
leo hatimae nimeachana na nyumba ndogo, kumbe tulikuwa tunapangwa, nimemjazia kila kitu kuanzia kitanda godoro, TV na mazagazaga, sasa kwa kunichezea akasema anarudi bush vitu nimpelekee Mama yake atumie /alalie, yeye huku akawa analala chini nikampa tena godoro
Wahenga wanasema Mbwa wako akianza kukubadilikia ujue kuna mtu jirani anamlisha
mwingine akaniambia Mwanamke kama hajakutambulisha kwa wazazi wake huyo atakuacha
sasa nikafanya unyama nikazamia kwao na njagu, Mama ananitambua nikakomba vyangu vyote nikaja na nilipompangia akiingiza vidume nikaongea na mwenye nyumba akaniruhusu nikakomba
sasa Mzigo mkubwa sina pa kuuweka na wife hajawahi hisia nina mchepuko, na sitaki akirudi usiku aone vitu vya ajabu vimelaliwa, bado vipo ndani ya buti na gari kwani niling'oa siti na ni tinted
askari kaniomba nimeshtuka
Nawashukuru sana kunipa mchongo wa Truck system tunaibiwa na kudharaulika jamani na hawa wezi hata kuzaa hawataki tena mwisho watatubambika tulee visivyo vyetu
 
Kuna vipindi vya mahaba, Kuna nyakati za kuchokana, kuna nyakati za dhiki, unakuta ata kama mwenza kajichanganya kuchepuka sa zingine sababu ni wewe mwanaume/mwanamke au ni hulka tu ama tamaa, mtu anakurupuka kushauri mwenzie eti fukuza , anajua jamaa ameishi vipi na mkewe adi kufikia mkewe kuchepuka??? Naye akae ajitafakari mwanamke ni binadamu kama walivyo wanaume
Acha kulainisha mke wa jamaa alivua nguo na kuingizwa mkuyenge na msanii .labda akumbuke dogo alivyokiwa anakula doggstyle
 
Acha kulainisha mke wa jamaa alivua nguo na kuingizwa mkuyenge na msanii .labda akumbuke dogo alivyokiwa anakula doggstyle
Ajue hata yeye huwa anawaingizia wengine vilevile, anafikiri mkewe huwa anajiskiaje, au maumivu ya mapenzi hayajui watu wanatoka nje adi anazaa na anasamehewa sembuse kuingiziwa
 
sasa si ungemfungulia mlango mwenzie aingie? Lol
jamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha
INAFANANA na ya kwangu nilipomsombea nyyumba ndogo kitanda na godoro kwa kosa la kuingiza vidume, sasa kaja usiku akakuta chumba kitupu kaangua yowe, leo kanitokea anaomba msamaha angalau apate pa kulala tu, hataingiza tena mtu kumsalimia
Sijamkubalia bado hasira kunichangia chungu kimoja na kibodaboda, ingawa nami nina mke anayenihitaji kila night, nimemruhusu aolewe kanijibu wanaume wa kuoa hawapo, DUH WANAWAKE KZ IPO KM HUPO ANAJISUUZA NA YOYOTE
 
jamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha
INAFANANA na ya kwangu nilipomsombea nyyumba ndogo kitanda na godoro kwa kosa la kuingiza vidume, sasa kaja usiku akakuta chumba kitupu kaangua yowe, leo kanitokea anaomba msamaha angalau apate pa kulala tu, hataingiza tena mtu kumsalimia
Sijamkubalia bado hasira kunichangia chungu kimoja na kibodaboda, ingawa nami nina mke anayenihitaji kila night, nimemruhusu aolewe kanijibu wanaume wa kuoa hawapo, DUH WANAWAKE KZ IPO KM HUPO ANAJISUUZA NA YOYOTE
Haya.makitu yatatupeleka motoni mitihani mingi
 
Wacha ujinga km ana kismart pesa sana unspiga unaweka mijengo ya maana.muache.ukae nae!!

Lkn km kimavi mavi huna maendeleo yeyote....umepanga.hela shida piga teke tu atajiju!!!

Usiangalie nyuma.
 
Baada ya mimi kurudi home siku ambayo wife hakutarajia ntarudi ,sikumkuta nyumbani na nilipompigia simu yy alijibu yupo home anaangalia tamthilia.

Nimekaa kuanzia saa moja usiku mpka saa sita usiku ndio anatokea,
Alipatwa na kama bumbuwaz hiv hakuamin km nipo home nilimnasa vibao akadondoka chin na kuomba nimsamehe haja fanya chochote kibaya

Nilimsikiliza lakin hakuwa na hoja yeyote ambayo inarizisha ukamwelewa yeye alisimamia msimamo wake huo alikuwa kwa shoga yake walikuwa wanaangalia muvi ndio maana kachelewa.

Alivyofika tu chakwanza kawahi kuchukua ndoo aende bafun akaoge niliamin kweli tayar kashaliwa
Sikumkagua huko chin sikuona km kuna haja ya kufanya hivo maana ni km uzalilishaji jibu linaonyesha tu ametoka kuliwa,alivyo maliza kuoga ,

Nikachukua simu yake na kumwambia toa password akawa hataki nikapiga ngumi ya uso akatoa password niliyo yakuta humo unaeza kuzimia,

Moja nikaenda kwny calls nikakutana na calls za jamaa za saa kumi na mbili kamili jion

Pili hamna calls hata moja inayo husisha rafiki yake inayo onyesha jana waliwasiliana kukutana

Tatu kwny whasp msg nikakutana na zajamaa pia na waliplan toka saa tano asubuh nilitaka niziweke humu but nimeshindwa kuweka ila ilikuwa km hivi

Jamaa:hey beautiful missed you

Mke: hey baby missing you more

Jamaa: missed your voice sana

Mke : thanks uko free leo?
Jamaa: yes tuonane bas please
Mke:eek:k ntakwambia.

Hiyo ilikuwa mida ya saa tano hivi asubuh hapa nakumbuka wife alipiga simu km mara 3 nikawa sikupokea nilikuwa kwny bus narud Dar na nililala nikakuta tu msg anasema
Hey baby nataka kujua unaendeleaje na unarudi lin? hapo nilimjibu Jmos usiku hiv akasema poa

Kwny saa kumi na mbili alimtafuta jamaa tena

Mke : hey uko wap tunakutana wap?
Jamaa:maaeneo ya studio kuna sehem inaitwa garden nini sijui..
Mke:poa

Mke mida hiyo ndio kaenda na calls za jamaa ni kama saa 1830hrs nafikir alikuwa akimwelekeza

Yote hayo na msg zote hizo bado wife hajakubali km alikuwa kwa jamaa amekataa katakata

Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo nini pale ila alisistiza tu tuhame maji ni shida , nikasema poa nilitafta sehem nyingine nikalipa

Pale tukapangisha mwingine, mke alikuwa akiwasifia sifia anasema wajua kuimba ila bado hawajatoka kimziki but sikumzingatia ila namba
Wamepeana huko na ukichek jamaa ni yupo yupo anahaso na mziki mambo ya gym Bangibangi tu

Ila ndio hivo kila kitu kinamwisho wakuu akili kwangu kichwani wife kaliwa na and aground wa mziki sijui kwann wanawake wanapenda masela tu mambo ya gym nashangaa sana mtu kama huyo kuvunja ndoa yangu nipo nae toka 2016,

Wakuu ambo mko kwny ndoa mnanishaur nini?
hapa itabidi kutumia busara sana nmefanya nae vitu vingi na huyu manzi leo huu analiwa kimasihara tu inauma sana,

Cha kushangaza alimpigia simu jamaa ,alivyopokea tu jamaa inaonyesha ni wapenz na jamaa alikana ndio ww sio mpenz wangu but sio lazima niwe mpenz wako ndio ufanye .

Watoto wangu wawili mdogo ana 2years na mkubwa 4years wataishi bila Baba na mama pamoja inauma ila ndio itabid iwe hivo

Sintafanya haraka ntamwacha hapa kwny hii nyumba mimi ntaenda kupanga kwingine but watoto wangu atabaki nao yeye bado ni wadogo na ntafocus kuwahudumia na kuwasomeshe but
Itakuwa ngum sana kuwa nae tena wife haswa unapojua ameliwa na mtu wa dizan gan

Usaliti ni kitu kibaya sana wakuu leo hii Livingstone anavunja ndoa yangu hivhiv naona na katika kuchepuka kote sijawahi toka na mke wa mtu Kwann lkn imetokea kwangu?

Story hii ni ya kweli Mungu shahid hakuna nilipo ongeza japo sijaweza kuongea yote yalio tokea sintomaliza,

Hoja zake kubwa
1/ alifanya hivo kujifrahisha nafsi na haimaanishi alienda kwa jamaa
2/Kanitajia wanawake ambao yeye anahis mimi natoka nao katika hao mmoja niyule mchepuko wangu which is true
3/ jana alitoka kwenda kwarafiki yake kwa kuwa aliboreka home alikuwa alone

Hapaameamka na kwenda zake kazin na ubaya tunafanya sehem mmoja kaz,

Imeniuma sana wakuu sijalala kabisa leo hii iskie tu kwa mtu

Nawasilisha mtanisamehe kwa uandish nimevurugwa sana.

Unashauriwa kusoma kisa kilichotangulia: Leo nahisi mke wangu anachepuka huko alipoenda
Duh!!! Pole Sana Mkuu...
Ushauri wangu: fanya maamuzi kwa kufuata moyo wako unasema nini.
 
Aaah kugongewa NOMA, tena ile ya kulipiziwa, au msela anainyanyukia mashine yako
halafu wavuta bhange eti mwanamziki, jamaa yetu anasema
Msela aliye kutana nae kamsave LivingStone nakumbuka wakati tunakaa kijitonyama tulipanga nyumba moja na rafiki zake Mallow walikuwa wakiimba hapo na kuvuta bangi tu ile nyumba tulikuja kuhama hata kodi haijaisha na sikujua haswa tatizo
 
jamaa kimsboy alimpangia chumba bint mbali na yeye alalapo, sasa alipomwambia anataka aishi mwenyewe bint akaondoka, kwa matambo, ilipofika usiku ina maana bint kwa huyo bwana mwizi hawana pa kulala, ndipo akamtext kimsboy mbona funguo ya chumba hakuiacha
INAFANANA na ya kwangu nilipomsombea nyyumba ndogo kitanda na godoro kwa kosa la kuingiza vidume, sasa kaja usiku akakuta chumba kitupu kaangua yowe, leo kanitokea anaomba msamaha angalau apate pa kulala tu, hataingiza tena mtu kumsalimia
Sijamkubalia bado hasira kunichangia chungu kimoja na kibodaboda, ingawa nami nina mke anayenihitaji kila night, nimemruhusu aolewe kanijibu wanaume wa kuoa hawapo, DUH WANAWAKE KZ IPO KM HUPO ANAJISUUZA NA YOYOTE
mambo ni vururu tyuuh.
 

cocastic

Mkuu km una bundle lkn uone Dunia ilivyo kusalitiana kupo na kusameheana

Wanawake wana samehe sana
 
  • Mshangao
Reactions: Cyb
Back
Top Bottom