Mrejesho: Kanikataa, je nimchomee kuwa ana vyeti feki?

just come down boy!we cyo wa kwanza,hata ndg yangu ilsha mtokea akachukulia poa;na MUNGU alimpa mke mwema.naamini kwa yote hayo yalokukuta,MUNGU anampango mzuri na wewe na atakupatia mke ambaye ni saizi yako;ambaye daima atakuwa faraja kwako.so tulia, just pray 4 GOD!
 
part iv nayo muhimu...lakini aangalie asije akawa ashatangulia kwa Sir GOD....maana hujui na huyo atalipa kwa lipi....

umeona eeeeh...mpambano unaweza kuwa mkubwa zaidi ya jamaa anavyofikiria!inawezahusisha sangoma ujue...
 
Kama anaperform wanaweza waka overlook hilo kosa na kumshauri asome part time. Hautakuwa umeachieve chochote.
 
Kama anaperform wanaweza waka overlook hilo kosa na kumshauri asome part time. Hautakuwa umeachieve chochote.
Hivi mbona nyie wanawake mnatetea upuuzi alioufanya mwenzenu? Huo ni unafiki, mnajifanya mnapendana hapa wakati wanawake mnajulikana hampendani
 
Wakati unampa pesa naye alikuwa anakupa uchi hivyo milimalizana. Suala hizo hela alifanyia nini halikuhusu kama alinunua cheti sio suala lako ni kama vile wewe ulivyofanya kazi ukalipwa pesa muajiri wako hajakufuatilia hizo pesa ulfanyia nini.

Close chapter na huyo msichana mwache aendelee na kazi yake usimchomee walakumdai pesa.
 
Mkuu, yeye kamwaga ugali wewe mwaga mboga Kama mbwai na iwe mbwai..sasa akikurudishia hiyo laki nne ndo itaziba maumivu uliyonayo moyoni ? Au ndo itakuwa mahari kwa mwingine..
 
Kwahiyo sababu you are bitter means everyone has to follow suit, that's Mad Man.

There is a difference betwen 'bitter' and 'truth'. They say truth hurts. Some of you should be able to put yourselves in the guy's shoes.
 
Embu mchome haraka ili wenye sifa na vyeti vyao wachukue hiyo nafasi.......
 
1. Kwa nini unaomba ushauri wakati hutaki kushauriwa?
2. Binafsi naona kama ulijua aligushi vyeti na hukumchomea kwa vile alikuwa girlfriend wako, kwa nini umchomee kwa vile amepata mwingine? Itakusaidia nini. Pengine wewe mwenyewe ndiye umesababisha hayo.
3. Je, kama na yeye anajua ambayo umefanya kitu mbaya (hata kama hukumbuki na akikuchomea kitakuwa na madhara kwa maisha yako whether ni ukweli au uwongo) na yeye akuchomee ili yeye afanye tit for tat?
4. Najua watu waliokorofishana na kuachana 1958 na wakarudiana 1980. Maisha ni safari ndefu!
5. Katika kuachana you never know who was wrong: anaweza kuwa yeye au wewe hata kama unadhani au kuamini siyo wewe.
6. Haya mambo yanahitaji busara sana kuliko emotions.

Mkuu ushauri ameomba na muafaka wake ni kutokana wengi kusema amchomee tu. Ndo maana ameamua kufanyia kazi majority advice
 
Back
Top Bottom