chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,003
- 20,679
Moja kati ya majukumu ya makonda ni kusimamia utafiti na mafunzo kwa wana CCM.
Lakini huyu ndugu ana tuhuma ya vyeti feki, je ataweza kujua afanyie utafiti nini? Na mafunzo, mtu mwenye tuhuma ya vyeti feki ndio atakuwa anatoa mafunzo kwa maprofesa waliojaa CCM, akina Kabudi, na ma-dokta kama Kitila Mkumbo, Mwakyembe na wengine? Mbona naona aliyepaswa kusimamiwa ndiye anasimamia?
Naona atakuwa anawalisha makasa tu wana CCM, au atawapa mafunzo ya kiwango cha Nyampulukano Primary School
Lakini huyu ndugu ana tuhuma ya vyeti feki, je ataweza kujua afanyie utafiti nini? Na mafunzo, mtu mwenye tuhuma ya vyeti feki ndio atakuwa anatoa mafunzo kwa maprofesa waliojaa CCM, akina Kabudi, na ma-dokta kama Kitila Mkumbo, Mwakyembe na wengine? Mbona naona aliyepaswa kusimamiwa ndiye anasimamia?
Naona atakuwa anawalisha makasa tu wana CCM, au atawapa mafunzo ya kiwango cha Nyampulukano Primary School