Katika ziara mkoani Kilimanjaro rais alihaidi Computers kwa kila shule ...Kama picha inavyoeleza wadogo zetu WAMEKAA wana subiri.
Shule jijini Dar es Salaam
Hii si afadhali mkuu,kuna sehemu hapa nchini watoto wanasomea chini ya miti,na darasani wanaishi walimu kwa kugawa darasa kama hanga la jeshi/polisi.