mnyikungu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2009
- 1,960
- 2,464
hivi kweli bongo kuna haki? wizi mtupu, tumpe pole mr 2.Shy,
Unaweza kutuambia ni lini na tupe mfano wa haki ilipotendeka mahakani Bongo?
hivi kweli bongo kuna haki? wizi mtupu, tumpe pole mr 2.Shy,
Unaweza kutuambia ni lini na tupe mfano wa haki ilipotendeka mahakani Bongo?
Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni,Madai ya MR II yanafunua kwa upana zaidi yaliyokuwa yamejificha katika tamasha lile..
Nilijiulizaa sana iweje tamasha la kuhamasisha na kuelimisha kuhusu janga la malaria baadhi ya watu waingie kwa kiingilio??? Je VIP group ilikuwa ina umuhimu gani katika Tamasha la aina ilee???
Kama Taifa shughuli yenye kumhusisha mkuu wa nchi kama mgeni Rasmi na kuhudhuriwa na halaiki ya umma lazima iwe na masilahi ya Taifa mbele na sio kikundi cha watu!! hapa kuna protokali inayotakiwa kulitambua hili na kulisimamiaa..halikufanyika.
Wale wote wanaofanya kazi IKULU kwa nafasi yeyote ile katika kumsaidia Mh Raisi utekelezaji wa majukumu yake wasitumie nafasi hizo kujinufaisha au kujipatiaa umaarufuu binafsi.. Natumai kama kuna kanuni za kazi IKULU huenda hili limebainishwa na kama halipo liangaliwee upya!!
Ni aibu kama Taifa kuwepo kwa madai kama haya katika tukio ambalo Mkuu wa Nchi aliongozaa ufanyikaji wake..Mh Raisi uwe unajiridhisha zaidi katika kushiriki masuala mbali mbali yenye masilahi ya kitaifa kwa kudadisii maudhui na mwelekeo wa tukio zima..Zana unazo ni kuzitumia tuu ukitaka!
Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni,
Kikwete kuingizwa mikenge si ndio zake, kwani umesahau sakata la hotel Arusha, Kivuko kule Mto Ruvuma.... huyu amejizungushia kina Sheikh Yahya Hussein, hawezi kuyaona mambo katika mstari wake.
Sugu moto chini, asante kwa kuendelea na vita hii.
uuuuh!!!Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni,
Kikwete kuingizwa mikenge si ndio zake, kwani umesahau sakata la hotel Arusha, Kivuko kule Mto Ruvuma.... huyu amejizungushia kina Sheikh Yahya Hussein, hawezi kuyaona mambo katika mstari wake.
Sugu moto chini, asante kwa kuendelea na vita hii.
Usalama wa Taifa wa taifa hili ni watu wa hatari sana, wao wapo kulinda usalama wa chama Tawala, na ukitaka kujua ni Genge la watu waajabu ebu leo ibuka na ufichue wezi wa mali za umma, kweli watakukamata, watakutesa, watakuandama ile mbaya.Ina maana rais hana Usalama wa Taifa wanaopaswa kugundua mambo feki kama haya ili yasimtie aibu?Walishindwa kweli kujua kama hili ni famba tu? Kama itakuwa ndo hivi si atakuja kudhurika siku moja?
MM usisahau kuwa January Makamba anasema ametumwa na mkulu kwenda kumn'goa Shulukindo huko Bumbuli kwahiyo hiyo dili inawezekana ikawa ndio katika kuchangisha pesa za kugombea ubunge; January asingeweza kupata mshiko kama dili ingepitia kwa Mr.11 kwahiyo akaipitisha kwa Ruge!! Na hao wakina January ndio sampuli ya vijana watawala wanataka kuwarithisha nchi!!!
Imeshasemwa kuwa "adui wa adui yako ni rafiki".
Nafikiri kama kuna mtu hii kesi angelifurahia kuwa Mr.II anashinda ni Shelukindo.
Sifahamu hata kama anafahamu juu la hili. Hii ni nafasi pekee ya kumdhoofisha mpinzani wake ambaye anakuja kwa kutumia mgogo wa MTANDAO.
Kama hii iliyosemwa hapa ni kweli kuhusu huyu mtani wangu January Makamba na hayo aliyotufunulia MMkjj kuhusu dada mtu ............. wa Msingi wa Voda na uje ujumlishe na tabia ya baba mtu, hii familia lazima nikiri IMEJALIWA.
Hao CLOUDS wamezoea kuwaibia wasanii na ukikataa wanagoma kupiga nyimbo zako walishafanya hivyo kwa TID,Dudubaya,Sugu,Kikosi cha Mizinga na wasanii wengine.
Mr II wasaidie hao wasanii waweze hata kudai haki zao
imejaaliwa wasanii wenye vipaji maalum. (am wondering who is the mama)
Nasikia hasira ya kuua mtu...mpakaleo nashindwa kujua kama tamasha la 'zinduka' ni biashara au msaada wa kupambana na malaria?
hayo mengine ya madili au nini ni kawaida nchini kwetu sema hapa kidogo wamefika mbali kama lengo lilikuwa msaada wakahamua kufanya biashara.
hile siku kama ilikuwa ni harambee basi walalahoi walijichangia 3000 wasubiri net zao za mbu zinakuja ,kama ilikuwa ni introduction wa msaada wa vyandarua basi sh 3000 zao ni takrima na net za mbu wameenda kuzijaribu VIPs kama zinafaa kabla ya kuwapa walalahoi.
Sugu peke yake hantoweza......hii ni vita kubwa siyo nyepesi kiasi hicho!!!Ukishangaa ya Mussa utayaona ya Firauni,
Kikwete kuingizwa mikenge si ndio zake, kwani umesahau sakata la hotel Arusha, Kivuko kule Mto Ruvuma.... huyu amejizungushia kina Sheikh Yahya Hussein, hawezi kuyaona mambo katika mstari wake.
Sugu moto chini, asante kwa kuendelea na vita hii.