Mr. II aibuka dhidi ya Zinduka!

Bahati nzuri nimewahi kuzungumza na msanii aliewahi kuingizwa mkenge na Clouds FM, bila kuuma maneno pale lipo GENGE la matapeli, wakiitumia taasisi yao iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria za nnchi hii.

Miaka ya nyuma GENGE hilo lilikua linamjumuisha Masoud Kipanya, Fina Mango,Gadner Habash, Ruge mwenyewe na kina B12, HAWA WAMEWADHULUMU SANA WASANII WA TZ.

Wanachofanya wanautumia udhaifu wa wasanii wetu kutokujua mambo mengi hasa ktk mikataba kuweza kuwadhulumu.

Wanautumia umasikini wao kuweza kujineemesha. Wanawagawa kisha wanawaibia....

Mimi naamini tunakoenda tutayaona mengi nakuyasikia mengi.
 
I hate some coincidences...

Tukapanga kusaidia Red Cross.. na tukazungumza na mashirika mbalimbali ya simu.. mojawapo ni Vodacom.. tukazungumza na mkuu wake wa Vodacom Foundation Dada... akaona ni wazo zuri na akawa tayari kutuunga mkono..

Tukaenda Clouds FM na nikazungumza kuhamasisha..

within few days..

Foundation ya dada.. wakaja na mpango wao kama huo huo wakitarajia kukusanya fedha zaidi kusaidia foundation yao (siyo Red Cross). kupitia.. you guessed it Clouds FM...

Mkuu Mwanakijiji,

Next time tunatakiwa kusaijiri 'concept' zetu kabla ya kuwashirikisha hawa 'wavivu' wa kufikiri wanaoishi kwa 'kubaka' mawazo ya watu na kuyaita yao. We will get there kwa kumake sure 'oppurtunists' hawagusi idea zetu.
 
Mkuu wa kaya kaahidi kuwalinda wasaniii....! Hebu aanzie kwenye hili. Sasa sikiliza siasa zitakavyoingia hapo!

Liz are you in Tanzania? Hivi huyo unayemwita mkuu ni kitu gani hajaahidi? Na kitu ameshafanya mpaka sasa? Hivi hujuwi kwamba urais kwake ni kipindi cha kampeni throughout wakati utekelezaji ni sifuri? My advice, kama unataka kuishi salama kiakili na kisaikolojia basi never take his words at face value.
 
I hate some coincidences...

Tukapanga kusaidia Red Cross.. na tukazungumza na mashirika mbalimbali ya simu.. mojawapo ni Vodacom.. tukazungumza na mkuu wake wa Vodacom Foundation Dada... akaona ni wazo zuri na akawa tayari kutuunga mkono..

Tukaenda Clouds FM na nikazungumza kuhamasisha..

within few days..

Foundation ya dada.. wakaja na mpango wao kama huo huo wakitarajia kukusanya fedha zaidi kusaidia foundation yao (siyo Red Cross). kupitia.. you guessed it Clouds FM...

Now I know, siku zile mlipokuwa mkizungumzia ku patent ideas, kusema kweli mimi nilikuwa gizani kabisa, uliposema mahali umepatent ideas zako US, nikajisemea kimoyomoyo, what for?.

Sasa nimeelewa ulikuwa na maana gani!.

All in all,. mimi ni muumini mzuri wa sheria ambayo haijaandikwa popote, haina mahakama ya kuienforce, wala hailazimishwi bali ni aplicable, inaitwa ' Karma'.

Maada ulipanga kuyafanya yote kwa nia njema, hata kama ile good ideas zimeibiwa na kutumiwa na wengine kwa nia tofauti, wewe mwenye original ideas utaendelea kubeneft na matunda ya ile idea yako in a good way, wewe na uzao wako, na yule aliiba, hata kama atafaidika imediately. lakini atafidia three folds mbele ya safari.

Naomba usivunjike moyo, Tanzania ni yetu sote na itakombolewa na wachache waliobahatika kuona mwanga, kumulikia wengine ili hatimaye Tanzania nzima tutoke gizani.
 
Mwanakijiji,

how comes you kept quiet for such long time without telling me this kinda foolish behavior?

am mad too

Kitu kingine cha kipuuzi ni kitendo cha rais kupelekwa kwenye tamasha amablo limekaa kitapeli..No more Malaria ila mpaka sasa nini kimefanyika?aua lengo ao lilikuwa ni nini?wtf?

Usalama wa taifa uko wapi?
mpaka kumpeleka Rais kwenye kampeni ambayo ilikuwa imejaa usanii?am mad but am glad anyways coz ya watu wanopenda sifa na kujihusisha na mambo yasiyo na msingi

mzee.. wakati mwingine hawa wenzetu huwa wanaweza kufanya lolote lile. Ungeona mawasiliano yetu na dada yule wa Vodacom ungejua jinsi gani tumemdharau. Sasa nikiyaona haya naombea isiwe kweli..
 
Kuna vitu vingine ni vigumu kuvi-own, specially kama ni idea na si teknolojia. Mfumo wa soko huria unaenda sambamba na business espionage, kwa hiyo tusiwe naive, unapoongea na watu deals uweke suspicion ya kwamba kama hmna cha kumzuia mwenzako kuiba idea ataiba.That which is not forbidden will inevitably happen.
 
Kitu kingine cha kipuuzi ni kitendo cha rais kupelekwa kwenye tamasha amablo limekaa kitapeli..No more Malaria ila mpaka sasa nini kimefanyika?aua lengo ao lilikuwa ni nini?wtf?

Usalama wa taifa uko wapi?mpaka kumpeleka Rais kwenye kampeni ambayo ilikuwa imejaa usanii?am mad but am glad anyways coz ya watu wanopenda sifa na kujihusisha na mambo yasiyo na msingi
Mkuu Gembe, kuna issues mbili hapa, naomba tusichanganye issues.

1. Uhamasishaji wa Malaria kwamba haikubaliki, hiki ndicho Mhe. Rais alichokifanya, its the right thing, na anastahili kuungwa mkono na sote tuunge mkono kuwa Malaria haikubaliki, it had nothing to do na usalama wa taifa, kazi yao ni kuhakikisha rais anakuja salama, na kuondoka salama.

2. Organization, hii ni issue nani ameafanya nini na analipwa nini. Hii ni kazi, malipo na ulaji, na hapa ndipo kwenye matatizo ambayo hayamhusu kabisa mkuu wa nchi.
 
Usicheze na Ruge , kiboko ya wasanii, peleka dili then una achwa kwenye mataa , hii nikawaida kwa Tanzania lakini , pole sana SUGU nend amahakamani!

Tutanzisha kampeni ya RUGe asipewe usimamizi wa hiyo Mastering Studio ndio tumeshaanza maandalizi tuna anza na maandamano, no voting mbaka RUge awe pembeni..JK hatutaki RUge

Bahati nzuri nimewahi kuzungumza na msanii aliewahi kuingizwa mkenge na Clouds FM, bila kuuma maneno pale lipo GENGE la matapeli, wakiitumia taasisi yao iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria za nnchi hii.

Miaka ya nyuma GENGE hilo lilikua linamjumuisha Masoud Kipanya, Fina Mango,Gadner Habash, Ruge mwenyewe na kina B12, HAWA WAMEWADHULUMU SANA WASANII WA TZ.

Wanachofanya wanautumia udhaifu wa wasanii wetu kutokujua mambo mengi hasa ktk mikataba kuweza kuwadhulumu.

Wanautumia umasikini wao kuweza kujineemesha.Wanawagawa kisha wanawaibia....

Mimi naamini tunakoenda tutayaona mengi nakuyasikia mengi.

Mtoto wa Kishua na Nguvumali, situation is even worse kwa wasanii wa nyimbo za injili. Nina mfano ulio hai wa jinsi gani akina dada wa nyimbo za injili wanavyosumbuliwa na Ruge.

Ukikataa kutoa penzi, basi nyimbo zako hazitasikika kwenye redio yeyote ile, labda Radio Maria.

Inauma lakini ndio ukweli nazungumza maana niliwashauri sana vijana walioshiriki kwenye Gospel Star Search wawe mbali na jamaa kuna waliosikia japo mpaka leo nyimbo zao hazisikiki na ni wazuri, kuna waliokubali kumtanulia miguu Ruge ili wapate fedha za kazi zao halali ya miziki!

Ruge is another Rostam when it comes kwenye issue za maslahi yake, is Idd Amin, rapist, I do believe his dys are numbered; Ruge ni mfalme anayetaka kubusiwa miguu, I dont get it; Ruge ana nguvu ya kumwambia mama Rwakatare kuwa nyimbo za fulani zisipigwe au zipigwe...kuna kitu hapa na tatizo la watu wabaya kama hawa huwa hawafi mapema.

I am happy umewataja akina Kipanya, fitina na mipango ya waovu huwa haidumu, wameshagombana kwa 'amani' wenyewe, ila dhambi hizi zitawafuata

I am writing with confidence kwani mdogo wangu wa kike anaonja joto ya jiwe kwa kukataa kulala na Ruge!

Big up Mr.2 hata kama atashinda kesi lakini atajua watu hawamuogopi.
 
Mkuu Mwanakijiji,

Next time tunatakiwa kusaijiri 'concept' zetu kabla ya kuwashirikisha hawa 'wavivu' wa kufikiri wanaoishi kwa 'kubaka' mawazo ya watu na kuyaita yao. We will get there kwa kumake sure 'oppurtunists' hawagusi idea zetu.

Ni kweli.. lakini wakati mwingine kama hili la kusaidia wahanga lilitakiwa tufanye wote kwa pamoja bila kujali credit au nani ananufaika. Sasa tukianza hata kusajiri kazi za upendo na za kujitolea tutaogopa kusaidiana.
 
Mtoto wa Kishua na Nguvumali, situation is even worse kwa wasanii wa nyimbo za injili. Nina mfano ulio hai wa jinsi gani akina dada wa nyimbo za injili wanavyosumbuliwa na Ruge.

Ukikataa kutoa penzi, basi nyimbo zako hazitasikika kwenye redio yeyote ile, labda Radio Maria.


Inauma lakini ndio ukweli nazungumza maana niliwashauri sana vijana walioshiriki kwenye Gospel Star Search wawe mbali na jamaa kuna waliosikia japo mpaka leo nyimbo zao hazisikiki na ni wazuri, kuna waliokubali kumtanulia miguu Ruge ili wapate fedha za kazi zao halali ya miziki!


Ruge is another Rostam when it comes kwenye issue za maslahi yake, is Idd Amin, rapist, I do believe his dys are numbered; Ruge ni mfalme anayetaka kubusiwa miguu, I dont get it; Ruge ana nguvu ya kumwambia mama Rwakatare kuwa nyimbo za fulani zisipigwe au zipigwe...kuna kitu hapa na tatizo la watu wabaya kama hawa huwa hawafi mapema.


I am happy umewataja akina Kipanya, fitina na mipango ya waovu huwa haidumu, wameshagombana kwa 'amani' wenyewe, ila dhambi hizi zitawafuata


I am writing with confidence kwani mdogo wangu wa kike anaonja joto ya jiwe kwa kukataa kulala na Ruge!


Big up Mr.2 hata kama atashinda kesi lakini atajua watu hawamuogopi.
Whistling!
 
Bahati nzuri nimewahi kuzungumza na msanii aliewahi kuingizwa mkenge na Clouds FM, bila kuuma maneno pale lipo GENGE la matapeli, wakiitumia taasisi yao iliyosajiliwa kwa mujibu wa sheria za nnchi hii.

Miaka ya nyuma GENGE hilo lilikua linamjumuisha Masoud Kipanya, Fina Mango,Gadner Habash, Ruge mwenyewe na kina B12, HAWA WAMEWADHULUMU SANA WASANII WA TZ.

Wanachofanya wanautumia udhaifu wa wasanii wetu kutokujua mambo mengi hasa ktk mikataba kuweza kuwadhulumu.

Wanautumia umasikini wao kuweza kujineemesha.Wanawagawa kisha wanawaibia....

Mimi naamini tunakoenda tutayaona mengi nakuyasikia mengi.

Ndugu yangu nguvumali, naomba tuwe waangalifu tusije kuwa tunaleta masuasa ya chuki binafsi kwenye kazi za watu. Ruge ni promota, sio msanii, yeye anawapromoti wasanii na wengine wakishasimama, wanajipromoti wenyewe na wengine kugeuka nao ni mapromota, kama alikomtoa JD na sasa JD alipo.

Mr. II ni msanii ambaye ameshasimama na sasa ni promota.

Naomba nimtete Ruge, na Joseph kwa kazi nzuri walizofanya kupitia kampuni ya Prime Time Promotion na Clouds Radio, msanii ambaye was nothing kugeuzwa kuwa something overnight huwezi kusema anadhulumiwa.

Msanii anaelalamika ni yule anaengalia amelipwa nini na kujilinganisha na promota analipwa nini bila kuangalia investment cost. Natolea mfano mdogo tuu, hiyo mic huyo msanii anayoimbia nyingine inacost mpaka milioni 10!, msanii akiimba zikalipwa milioni 3, yeye akapewa milioni moja, promota kabaki na milioni 2, hapo ndio basi kelele za kudhulumiwa!.

Tufike mahali tuwashukuru baadhi ya mapromota wetu, na kukubali baadhi ya wasanii wetu wana matatizo, haswa hawa wa kizazi kipya, wamezidi!.
 
Ndiyo maana mi nilishangaa sana, nikajuiliza hii kampen vip, na mkulu na akavaa tishet nyukundu na usemi wake ulioniudhi sana kuwa sisi ndo tuwe kizazi cha mwisho kufa na maralia.

Haya, nikatarajia siku ile walau kana vyandarua, hakuna kitu!
 
Mtoto wa Kishua na Nguvumali, situation is even worse kwa wasanii wa nyimbo za injili. Nina mfano ulio hai wa jinsi gani akina dada wa nyimbo za injili wanavyosumbuliwa na Ruge.

Ukikataa kutoa penzi, basi nyimbo zako hazitasikika kwenye redio yeyote ile, labda Radio Maria.

Inauma lakini ndio ukweli nazungumza maana niliwashauri sana vijana walioshiriki kwenye Gospel Star Search wawe mbali na jamaa kuna waliosikia japo mpaka leo nyimbo zao hazisikiki na ni wazuri, kuna waliokubali kumtanulia miguu Ruge ili wapate fedha za kazi zao halali ya miziki!

Ruge is another Rostam when it comes kwenye issue za maslahi yake, is Idd Amin, rapist, I do believe his dys are numbered; Ruge ni mfalme anayetaka kubusiwa miguu, I dont get it; Ruge ana nguvu ya kumwambia mama Rwakatare kuwa nyimbo za fulani zisipigwe au zipigwe...kuna kitu hapa na tatizo la watu wabaya kama hawa huwa hawafi mapema.

I am happy umewataja akina Kipanya, fitina na mipango ya waovu huwa haidumu, wameshagombana kwa 'amani' wenyewe, ila dhambi hizi zitawafuata

I am writing with confidence kwani mdogo wangu wa kike anaonja joto ya jiwe kwa kukataa kulala na Ruge!

Big up Mr.2 hata kama atashinda kesi lakini atajua watu hawamuogopi.
Ohh..mkuu pole sana kwako na kwa dada yako mdogo.

Lakini ni kipi hapa cha ajabu? Nimeshasema mara nyingi sana kuwa nchi yetu ipo ktk anarchy..Na indicators zipo kila mahali. Wanaojua kula na genge la watawala wananeemeka na kula over 95% ya keki ya taifa. 5% iliobaki ndio twala akina siye. Ktk mfumo huu wa near anarchy samaki wakubwa wataendelea kuwala samaki wadogo mpaka forces of nature zitakapoingilia kati..maana sioni prospect ya kubadili hali iliyopo under normal circumstances.
 
Leo msanii Joseph Mbilinyi(Mr II) amefanya mkutano na wanahabari na kuanika tuhuma ya kuporwa mradi na maofisa ya ikulu ya Tanzania wakiongozwa na January Makamba na kupewa Ruge Mutahaba wa Clouds FM.

Mradi huo wa ZINDUKA wa malaria ulizinduliwa karibuni na Rais Jakaya Kikwete.

Ameonyesha vielelezo vya mawasiliano yake ya barua pepe ya miaka takribani miwili na wahusika na namna January Makamba alivyotumia nafasi yake ikulu kwenda tofauti na makubaliano ya awali kati yake na taasisi ya Malaria NO MORE.

Stay Tuned

PM

'Sele' yupo wapi atoe ufafanuzi hapa..
 
mzee.. wakati mwingine hawa wenzetu huwa wanaweza kufanya lolote lile. Ungeona mawasiliano yetu na dada yule wa Vodacom ungejua jinsi gani tumemdharau. Sasa nikiyaona haya naombea isiwe kweli..

Ndg. Mwanakijiji,

inabidi tuanze kutunza hizi siri za kibiashara na kabla ya 'kuuza' hizi siri za kibiashara kwa wadau wengine lazima kuwepo na commitment za kisheria. Hii itasaidia kuweza kuwabana na kuwafilisi ma-opportunists wanaosubiri kubaka mawazo ya watu. Ikibidi tulinde kazi zetu kama cocacola anavyolinda 'formula' ya kutengeneza kinywaji chake.
 
Ohh..mkuu pole sana kwako na kwa dada yako mdogo.

Lakini ni kipi hapa cha ajabu? Nimeshasema mara nyingi sana kuwa nchi yetu ipo ktk anarchy..Na indicators zipo kila mahali. Wanaojua kula na genge la watawala wananeemeka na kula over 95% ya keki ya taifa. 5% iliobaki ndio twala akina siye. Ktk mfumo huu wa near anarchy samaki wakubwa wataendelea kuwala samaki wadogo mpaka forces of nature zitakapoingilia kati..maana sioni prospect ya kubadili hali iliyopo under normal circumstances.

You are right hatuwezi tukaendelea kulia, leo ninaposema haya kuna studio nyingi za watu wanaorekodi nyimbo za Kikristo, kuna studio kubwa nzuri na zote zilianzishwa baada ya haya mambo kuonekana. Tatizo lililopo huyu mkuu na wahindi wasambazaji wa miziki lao moja na huko nako ana nguvu. Nadhani there will be a way out.
 
RUGE na clouds ni watu wabaya sana kwa music wa Tanzania. Me nilishangaa tamasha la malaria watu wanatoa kiingilio. Lile lilikuwa deal tu...

Rais wetu kilaza naye kwa kukurupuka anafanya mambo bila kuwa makini,ataendaje kwenye uzinduzi ambao ni biashara? Malaria ni tatizo Tanzania lakini lisigeuzwe biashara na baadhi ya watu kama ukimwi ulivyogeuzwa.
 
Back
Top Bottom