FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
watu bwanaaa majina hayohayo yakitajwa kwenye nyimbo za twanga pepeta,FM academia,Akudo Impact............ tunazichekelea na kuzifatisha kuimba huku tukitoka jasho kulicheza sebene , lakini akitaja mpokiii oooooh naboreka ................... acheni chuki binafsi, au mkuuu ndo wale kundi la akina kanumbaa? hahahha maana sidhani kama kanumba na wenzie wanataka kuwatch ze comedy........... wana hasira haoooooooooo
eeehe heee heeee nicheke kimaisha plus mie