Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Yo Yo,
Acha kujipendekeza kwa watu usiowafahamu.
Yaani umejipendekeza kwa NN na Masanilo nilifikiri imetosha lakini bado tu.
Sasa umeibukia kwa TK? Hata kwa hicho kitoto nacho unajilamba vidole? Kama MPare vile na picha ya samaki ukutani...........
Acha kujipendekeza kwa watu usiowafahamu.
Yaani umejipendekeza kwa NN na Masanilo nilifikiri imetosha lakini bado tu.
Sasa umeibukia kwa TK? Hata kwa hicho kitoto nacho unajilamba vidole? Kama MPare vile na picha ya samaki ukutani...........