Hapana...Kazi na dawa mkuu..Sio kila wakati Siasa tuuuu na dini...YoYo tuwekee picha zaidi tutathmini uumbaji huu aisee
Babukijana na Kaizer,
Mbona mnakuwa kama "Washamba" fulani hivi?
Hayo ndiyo mambo ya majuu. Na mtangazaji kama huyo ndiyo unaambiwa kuwa habari zake ni "NAKED" TRUTH au Ukweli "MTUPU".
Kwa maana nyingine ni kuwa "hana cha kuficha", mtoto kajisasambua "SAMBUU."
NB: Kaizer na Babukijana, neno mshamba hapa limetumika kifasihi.
Hapana mkuu,sijaona ishu za porno hapa Dr. ndo maana bandiko lipo kwenye celebrity forum,labda tatizo lipo kwenye aina ya mavazi aliyovaa Teddy(ni kama wanavyovaa washiriki wa mavazi ya urembo mkuu),so kwangu nahisi Teddy alivaa hivyo kulinngana na matakwa ya hao jamaa wanaotafuta mtangzaji wa hiyo TV,na kwa vile binti anataka ajira hakuwa na jinsi zaidi ya kukubali kujianika hivi(hata washiriki wa mashindano ya urembo huvaa zile bikini kutokana na matakwa ya waandaaji wao mkuu)....Mambo ya kusaka ajira na umaarufu hayo Dr.Astaghfurillah!
Ustadh na wewe una-commend hizi materials za maji machafu (porno)? Sasa mfano mwema tuutoe watu wanajamii?
Mkuu vp kuhusu picha hii,nayo ni porno?? http://4.bp.blogspot.com/_stxylFr6jLM/SovlJnvo8mI/AAAAAAAAfi0/qxMbxzA_BuQ/s1600-h/Misss.jpgAstaghfurillah!
Ustadh na wewe una-commend hizi materials za maji machafu (porno)? Sasa mfano mwema tuutoe watu wanajamii?
No matter how you feel,get up,dress up and show up coz life isn't tied with a bow,but it's still a gift to us to have such a beautiful lady like u...u were and still ma favorite tv presenter when u were in eatv!!!go girl grab every positive opportunity and kindly u have ma vote!!![LIFE IS TOO SHORT TO WASTE TIME HATING ANYONE]