KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Yule kada wa CCM kupitia Radio ya watu kaishiwanguvu baada ya kusoma list ya Ma DC na kukuta lake halipo!!
Matokeo yake jana kwa hasira aliamua kuwachana wana CCM wenzake wakati wa mazungumzo na Vailet Mzindakaya kwenye kipindi cha Jahazi!!
Namshauri avue gamba avae Gwanda!!
Matokeo yake jana kwa hasira aliamua kuwachana wana CCM wenzake wakati wa mazungumzo na Vailet Mzindakaya kwenye kipindi cha Jahazi!!
Namshauri avue gamba avae Gwanda!!