Mpiga debe wa CCM Kupitia Clouds FM Hoi!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,555
8,552
Yule kada wa CCM kupitia Radio ya watu kaishiwanguvu baada ya kusoma list ya Ma DC na kukuta lake halipo!!
Matokeo yake jana kwa hasira aliamua kuwachana wana CCM wenzake wakati wa mazungumzo na Vailet Mzindakaya kwenye kipindi cha Jahazi!!
Namshauri avue gamba avae Gwanda!!
 
Jana kamdondokea kamada Nasari juu ya kauli yake kweli huyu jamaa ni much-know huku akiwa mweupe peee!!
 
chacha chibonde ame pulia chana antaka uongochi m..ma kumbe pungu chana nli kua chijui mafulenedi..kaz yake ni matangazo ya airtel.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom