Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,114
- 2,535
Mpenzio/ Mumeo au Mkeo....
Akikushushia heshima kwa namna hii:
"Kenge wewe!" au " Kima mkubwa wewe kampe mamako!"
Wewe utamchukuliaje au utachukua hatua gani? Vipondo vya kufa mtu au talaka au kumpiga chini!
Kujua kutukana nako kunadhihirisha picha nzima ya malezi!
Ni hayo tu...
Akikushushia heshima kwa namna hii:
"Kenge wewe!" au " Kima mkubwa wewe kampe mamako!"
Wewe utamchukuliaje au utachukua hatua gani? Vipondo vya kufa mtu au talaka au kumpiga chini!
Kujua kutukana nako kunadhihirisha picha nzima ya malezi!
Ni hayo tu...