Mpenzi wangu hataki jina nililompa mtotowangu wakiume

Jamani nisaidieni huyu mwana mke simuelewi sijui ndo usomi mimi na yeye wote tume graduate mwaka jana.mkewangu akiwa na mimba tulielewana kuwa akiwa mtoto wa kike jina amchagulie yeye na akiwa wakiume jina nitampatia mimi.tatizo likaja baada ya mtoto kuzaliwa akazaliwa mtoto wa kiume me nilikuwa mbali na yeye alikuwa mbali coz tumeajiriwa mikoa tofauti. Nilipo mtajia jina alikubali but baada ya siku mbili ana niambia yeye atamuiata jina lake ambalo ni jina la kaka yake la kwangu ana niambia ndugu zangu ndo wamuite hili la kwangu. Ivyo hadi saizi mtoto wangu wana muita jina hilo ambalo mimi pia silitaki nisaidieni jamani
POLE MKUU ,HII WIN-WIN SITUATION NI SHIDA
SWALI LA MSINGI NIMEBAKI NAJIULIZA KWANINI ANALIKATAA HILI JINA SASA KAMA MWANZONI KABLA MTOTO AJAZALIWA ALIKUBALI
NAAMINI ULIMHINT HILO JINA NDIO MAANA HATA AKALIKUBALI ,SASA IWEJE SASA HIVI ANALIKATAA... ?
AMEANZA KUAPPLY ZILE LAW ZAO ZA UPANDE WA PILI USIPOKAANAE AKAJUA NAFASI YAKE NA NAFASI YAKO ATAKUJA NA JINGINE NA BELIEVE MAMBO YATAKUWA SIO MAMBO .
"I do insist on making what I hope is sense so there's always a coherent narrative or argument that the reader can follow. "- Howard Nemerov
 
Jamani nisaidieni huyu mwana mke simuelewi sijui ndo usomi mimi na yeye wote tume graduate mwaka jana.mkewangu akiwa na mimba tulielewana kuwa akiwa mtoto wa kike jina amchagulie yeye na akiwa wakiume jina nitampatia mimi.tatizo likaja baada ya mtoto kuzaliwa akazaliwa mtoto wa kiume me nilikuwa mbali na yeye alikuwa mbali coz tumeajiriwa mikoa tofauti. Nilipo mtajia jina alikubali but baada ya siku mbili ana niambia yeye atamuiata jina lake ambalo ni jina la kaka yake la kwangu ana niambia ndugu zangu ndo wamuite hili la kwangu. Ivyo hadi saizi mtoto wangu wana muita jina hilo ambalo mimi pia silitaki nisaidieni jamani
Kwa ufahamu wangu (i stand to be corrected) baba ndiyo kichwa wa nyumba na ndiyo anayetoa jina la mtoto (awe wa kike au wa kiume.)
 
kwanini umelikataa jina la kakake?
Labda ni libaya nini? Au hupatani na huyo kakake?
Hataivo mkewe hajatumia busara kumwita jina lengine ilihali ulishatoa jina. Iyo ni DHARAU.
 
Duuu, napita mawazo ya kwanini makubaliano yenu ya awali yakiukwe! Yumkini kuna sababu uliyotuficha, tafakari chukua hatua.
Ikibidi kacheki na DNA!
 
Hakuna kitu kibaya kama kumpa jina Mtoto kwa sababu ni jina la mtu fulani unless huyo mtu hapa duniani amefanya Mambo yenye heshima,watu kama akina Nelson Mandela,Martin Luther,Stephano,Daniel,Yohana n.k,sio umpe jina mtoto la kaka,kaka ambaye maisha yake yote ni Mlevi,failure,ameoa na kuacha zaidi ya mara 2,yaani rekodi Mbovu!!
Jina humuandama mwenye nalo,usimpe tu mtoto jina la ajabuajabu!!!

Hata hivyo,nifahamuvyo mimi,Baba ndiye mwenye wajibu wa Kuwapa watoto wote Majina,mama akitoa jina ni kwa ridhaa tu ya Baba!! Baba haombi ruhusa ya kumpa mtoto jina unless uwe "kitu fulani pungufu ya mwanaume",u cant be too democractic,Baba ndiye Kiongozi wa Nyumba na Mkeo na watoto wote lazima wasadiki hilo,Kama Mwanaume ni lazima uwaonyeshe uongozi wako usipofanya hivyo Mama ataongoza!!

Lakini pia inawezekana huyo mwanamke wako anapata Ujasiri wa kubishanabishana na wewe na kui-challenge mamlaka yako kwake kwa sababu hauoni "uanaume" wako,pengine hauna attributes za kiume!!

Hii haimaanishi kuwa mbabe,au kukosa usikivu,la hasha,lakini Mwanamke ni lazima akubali kwamba wewe ndiyo kichwa cha Nyumba!!
Hapaswi kubishana na wewe katika jambo dogo kama hilo unless jina ulilompa mtoto ni la kishetani kama vile Mawazo,shida,sikujua,siyawezi n.k!!
Mwambie tena jina la mtoto,akikataa muulize baba wa huyo mtoto ni wewe au kaka yake au ana baba mwingine!!
Mimi sibishani na mke wangu hata siku moja,anajua kwamba mimi ndiyo kiongozi,sehemu nyingine yeye anatoa tu mawazo yake kuboresha tu mwongozo wangu au ikibidi kupinga anajenga hoja kwa unyenyekevu na anilazimishi wala HANITUNISHII MSULI!

Akikataa mpotezee,inawezekana anajua wewe sio baba wa mtoto!
Hata hivyo huyo anaonekana kuwa ni Mwanamke mwenye KIBURI,asipoitii Mamlaka yako,achana naye,atakuja kukusumbua siku za Usoni,hatuoi mtu kwa sababu tumezaa naye!!!
 
Kwa kifupi nimekataa jina hilo la kaka yake coz mimi nikiwa kama baba nilikuwa nishaanda jina la mwanangu na pia tuliaidiana kuwa atapozaliwa wakiume mimi nitampatia jina na jina lenyewe ni zuri siyo yale ya kina mashaka.matatizo shida no.but alikataa but amekubali kuandikisha kwenye cheti pekee yake
 
kwa kifupi mkuu nime kuelewa but DNA sina wasiwasi na mtoto coz mtoto hamna mtu anaye weza kubisha kama siyo wa kwangu amefanana saaana na mimi
 
Kila jambo huwa na sababu zake zinazolifanya litokee,jambo lililomtoa duniani Gaddaf sababu zake ni bwana mkubwa kukosa mafuta.Na yeye kukiuka makubaliano kuna sababu iliyo nje ya uwezo wake inayomfanya afanye hivyo bila pande mbili kumwathiri.Na pengine kulinda sehemu yenye uzito,na ndiyo maana ameamua kutumia jina la kaka yake. Lakini kimila kwanini mtoto amwitie jina la kaka yake? Huyo kaka yake ni wa ukweli au uliingizwa mkenge kuwa kaka yake kumbe mme mwenzio?Au kipindi uko chuoni ulikuwa ndo mhudumiaji halafu walaji wengine na ukaamua kuridhishwa? Pole sana. "UAMZI NI WAKO" salamu zenu waungwana ndimi Ng'wanhale ni mshiriki mpya katika fani hii usiku mwema.
 
hilo ndo jina haswa nililo mpatia mimi na tulikubaliana hata kabla may baby boy hajazaliwa but mwenzangu baada ya siku mbil ana niambia kuwa yeye atamuita mtoto jina lengine na kwa kifupi tumefikia hatua ambayo siyo coz ya hayo mambo mbaya zaidi ilikuwa tukikosaana anasema kuwa anaenda kubadilisha jina la mtoto kwenye cheti.
 
jina lililo kataliwa ni jina la BILLY na ndilo lililo andikishwa siku ya kuzaliwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom