Mwendawazimu2
Member
- Nov 29, 2010
- 54
- 5
Ulipata kumfanyia kwa bahati mbaya? Ni yapi....
Kumsaliti kwa Sophy...
Ulipata kumfanyia kwa bahati mbaya? Ni yapi....
Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
<br />Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:<br />
<ol class="decimal"><li>Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!</li><li>Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!</li><li>Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!</li><li>Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!</li></ol>
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
acha kiherehereHakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
same here!
hahahah Komenti zenu zinanichekesha mwenzenu daaah haya mambo ya kuwaza kabla jambo halijatokea mungu apishe mbali:redfaces:
Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
Na wewe una kiherehere!! Kwanini utume ujumbe mara sita na wakati siku hizi simu zina maneno hadi 1000? Unaweza kuandika hizo message sita au kumi katika ujumbe mmoja lakini zitajigawa katika kulipia tu. Au bado mnatumia simu za kitochi?...Acha Kiherehere na Utumie ubongo badala yake. Si unazituma hizo 160 mara sita, saba hata kumi kama meseji tofauti ilimradi meseji yako nzima imetumwa??