Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
hakika ntatangulia mbele ya haki kabla yake
unatumia simu gani wewe~kitochi"?????????????Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
Presha lazima ipande/ ishuke!!ray:
Hakuna SMS ndefu namna hiyo, maana SMS ni maneno 160. So hamna Hoja hapo. Lingine???
Hahahah .......No 4 zinatokea sana usifanye joke, siumeona statistics za bong almost 50%!!:sad:1.kuniambia unanipenda was the most beutiful thing that has ever happened in my life!
2.kutaka kuruka ukuta..lol
3.NAKUPENDA,nafasi yako hakuna atakayeiziba,uniombee na mie nikuombee mpaka tutakapoonana
4.mtoto wetu yule wa mwisho sio wako,ni wa yule houseboy wetu..LOL:embarrassed::embarrassed::embarrassed::redfaces:
:whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo::whoo:Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
1.kuniambia unanipenda was the most beutiful thing that has ever happened in my life!
2.kutaka kuruka ukuta..lol
3.NAKUPENDA,nafasi yako hakuna atakayeiziba,uniombee na mie nikuombee mpaka tutakapoonana
4.mtoto wetu yule wa mwisho sio wako,ni wa yule houseboy wetu..LOL:embarrassed::embarrassed::embarrassed::redfaces:
Mi ningemwambia kama anataka kwenda kwa amani ni bora nisimwambie vibaya nilivyomfanyia coz hivyo vitamuua hapo hapo na hataenda kwa amani!!Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
- Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
Mpenzi wangu, hali yangu ya kiafya sio nzuri, na hivyo muda wowote huenda nikatangulia na kuwaachia dunia hii; lakini mpenzi wangu kabla mapenzi ya Mwenyezi Mungu hayajatimia, ningeomba uniambie:
- Ni kitu gani kizuri nilichowahi kukufanyia katika uhai wangu, ambacho hautakaa usahau.....!
- Ni kitu gani kibaya nilichotokea kukufanyia kipindi cha mahusiano yetu, ambacho usingeweza kuisahau, na ningepaswa kupiga magoti unisamehe.....!
[*]Ni neno gani ungependa kuniambia kama neno la kuagana....!
- Ni nini unachokijua mwenyewe, ambacho ulinifanyia na sio kizuri, na hivyo ungependa nikusamehe kabla kifo hakijatutenganisha....!
karatasi za urithi ziko wapi mpenzi?
great thinker lol!karatasi za urithi ziko wapi mpenzi?
great thinker lol!
ofcozAm i one of them?????????????