Me sidhani kam anatakiwa kunyamaza, me nafikiri antakiwa atafute njia ambayo atamweleza mwenzie ila bila mwizi kujua, lakini pia sio lazima amweleze kwa mdomo anaweza kutumia njia nyingine ambazo pia yule anaeibiwa hatajua taarifa zinakotokea ila2 atazipata na zikiwa za ukweli. Asipokua makini ataharibu urafiki wao wote wa3.