Mpango wa TCRA, watu wahame mitandao ya simu na namba zao ni upuuzi...

Tuko

JF-Expert Member
Jul 29, 2010
11,178
7,320
Sijui hawa watu wanawaza kwa kutumia akili gani, na cha kushangaza eti mkuruguenzi ni Profesa!!!
Wanaposema kwamba wanaanzisha utaratibu wa mtu kuweza kuhama na namba yake ya simu kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nadhani ni upuuzi wa mwaka...
Yaani mathalani mtu ana namba 0754096210 ya voda, alafu anaamua kuhamia airtel, akitumia namba hiyo hiyo... Hawa watu wamesahau kwamba Gharama za kupiga simu ndani ya mtandao mmoja ni tofauti na gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine?!. Kwa hiyo mi ambaye nilijua ndugu au rafiki yangu yupo voda, siku nikitaka kumpigia natumia line yangu ya voda ili kubana matumizi, kumbe mtu huyo alishahamia airtel na namba hiyo hiyo, so inakula kwangu!!!
Au TCRA wamejisahau kwa kuwa wao wana mihela na hawaangalii wanatumia line gani kupiga mtandao gani? Au wamesahau majority ya watanzania siku hizi wana line zaidi ya moja ili kubana matumizi?

Mi nadhani wawe wabunifu wa kweli, sio kukopi na kupesti tu kila wanachosikia huko nje...
 
You have a point kaka......ngoja tusikie wadau kama wana maelezo zaid ya kutuelewesha ila umeweka mada ya kujadilika mkuu!!!!!

Mnaomjua huyo sijui Innocent Mungi.....muhabarisheni wenyenchi wanahitaji maelezo huku na kama uko humu haya funguka!!
 
Sijui hawa watu wanawaza kwa kutumia akili gani, na cha kushangaza eti mkuruguenzi ni Profesa!!!
Wanaposema kwamba wanaanzisha utaratibu wa mtu kuweza kuhama na namba yake ya simu kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nadhani ni upuuzi wa mwaka...
Yaani mathalani mtu ana namba 0754096210 ya voda, alafu anaamua kuhamia airtel, akitumia namba hiyo hiyo... Hawa watu wamesahau kwamba Gharama za kupiga simu ndani ya mtandao mmoja ni tofauti na gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine?!. Kwa hiyo mi ambaye nilijua ndugu au rafiki yangu yupo voda, siku nikitaka kumpigia natumia line yangu ya voda ili kubana matumizi, kumbe mtu huyo alishahamia airtel na namba hiyo hiyo, so inakula kwangu!!!
Au TCRA wamejisahau kwa kuwa wao wana mihela na hawaangalii wanatumia line gani kupiga mtandao gani? Au wamesahau majority ya watanzania siku hizi wana line zaidi ya moja ili kubana matumizi?

Mi nadhani wawe wabunifu wa kweli, sio kukopi na kupesti tu kila wanachosikia huko nje...

....:)

Si utaratibu mbaya. Mfano;

......Uingereza network provider wako akiwa T-Mobile na unataka kuhamia Vodafone, Orange, O2, nk, lazima uwataarifu T-Mobile ambao wanakupa transfer charges na special code ya kuhama mtandao.

Hiyo mitandao, hata wao tarrifs zao, (na hata network reception) zinatofautiana.

Ni wajibu wako weye mhamaji 'kuwanusuru' ndugu, jamaa na marafiki na gharama mpya watazo incur kuwasiliana nawe (kwa namba waliyoizoea!)
 
Sijui hawa watu wanawaza kwa kutumia akili gani, na cha kushangaza eti mkuruguenzi ni Profesa!!!
Wanaposema kwamba wanaanzisha utaratibu wa mtu kuweza kuhama na namba yake ya simu kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nadhani ni upuuzi wa mwaka...
Yaani mathalani mtu ana namba 0754096210 ya voda, alafu anaamua kuhamia airtel, akitumia namba hiyo hiyo... Hawa watu wamesahau kwamba Gharama za kupiga simu ndani ya mtandao mmoja ni tofauti na gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine?!. Kwa hiyo mi ambaye nilijua ndugu au rafiki yangu yupo voda, siku nikitaka kumpigia natumia line yangu ya voda ili kubana matumizi, kumbe mtu huyo alishahamia airtel na namba hiyo hiyo, so inakula kwangu!!!
Au TCRA wamejisahau kwa kuwa wao wana mihela na hawaangalii wanatumia line gani kupiga mtandao gani? Au wamesahau majority ya watanzania siku hizi wana line zaidi ya moja ili kubana matumizi?

Mi nadhani wawe wabunifu wa kweli, sio kukopi na kupesti tu kila wanachosikia huko nje...

Sijui wanataka kuweka flat rate kwa mitandao yote!!!! Ikiwa ni hivyo basi yale matangazo ya makampuni haya kama vile "Umebugi man" yatapotea Au yale ya tIGO ni "Kiboko" kuliko yote yatajisitisha yenyewe. Tukae tusubiri. Wenzetu wa Kenya wamefanya kitu kizuri sana kuziondoa simu feki kwa njia ya mtandao. Sisi hata zikitokea simu zimetengenezwa hapo Gerezani TCRA watazipa baraka na TBS ndiyo kabisa.
 
Sijui hawa watu wanawaza kwa kutumia akili gani, na cha kushangaza eti mkuruguenzi ni Profesa!!!
Wanaposema kwamba wanaanzisha utaratibu wa mtu kuweza kuhama na namba yake ya simu kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nadhani ni upuuzi wa mwaka...
Yaani mathalani mtu ana namba 0754096210 ya voda, alafu anaamua kuhamia airtel, akitumia namba hiyo hiyo... Hawa watu wamesahau kwamba Gharama za kupiga simu ndani ya mtandao mmoja ni tofauti na gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine?!. Kwa hiyo mi ambaye nilijua ndugu au rafiki yangu yupo voda, siku nikitaka kumpigia natumia line yangu ya voda ili kubana matumizi, kumbe mtu huyo alishahamia airtel na namba hiyo hiyo, so inakula kwangu!!!
Au TCRA wamejisahau kwa kuwa wao wana mihela na hawaangalii wanatumia line gani kupiga mtandao gani? Au wamesahau majority ya watanzania siku hizi wana line zaidi ya moja ili kubana matumizi?

Mi nadhani wawe wabunifu wa kweli, sio kukopi na kupesti tu kila wanachosikia huko nje...

Umenena kweli huyu profesa ameshakuwa mwanasiasa anasahau kuwa yeye ni natural Scientist. Anaongea kwafurahisha nani sijui?
 
....:)
Ni wajibu wako weye mhamaji 'kuwanusuru' ndugu, jamaa na marafiki na gharama mpya watazo incur kuwasiliana nawe (kwa namba waliyoizoea!)
kazi yote ya nini hiyo bana nianze kumpigia one by one ooh nimebadilisha mtandao n all blah blah....ishu ni kwa kwamba wa copy ila with steps sio kila kitu hiyo ni mbaya itawacost watu sana kwani hata wakitoa taarifa haitamfikia kila mtumiaji
 
Nlishasema kwamba Tanzania tunaburuzwa kuingizwa katika teknolojia mpya na viongozi wetu.. Hawajafanya research ya kutosha kuangalia uelewa wa wananchi katika masuala haya.. Mfano hili la kuwa na namba moja limewachanganya watu wengi sana.. Kwanza ndio kwanza mie nimelicikia juzi na implementation wamesema ni kuanzia Jan 1..! Inaleta confusion kwa wananchi wengi.. Kila ninaemuuliza haelewi zaidi ya kusema inatumika ulaya na nchi nyingine.. Hii ni Tanzania na sio nchi nyingine.. Wenzetu waliandaliwa kwa kupewa elimu kwanza..
 
Tupo katika safari ya kuelekea NWO ,ni lazima tu centralize mambo mbalimbali zaidi zaidi ni mfumo wa mawasiliano na taarifa
 
watu kwa nini mnaogopa mabadiliko?Mie nimeona hili ni miongoni mwa suala litakalosaidia sana kupunguza gharama za hawa watoa huduma, na pia kuongeza ubora wa huduma zao, kwani sasa yale mamitandao ya tunaongoza Tanzania itabidi yaboreshe huduma kutokana na ukweli kuwa mteja muda wowote ataweza kuswitch kwenda mtandao mwingine(naongelea flexibility)
kwa mf:juzi kuna mtandao ulikua down siku nzima,kwa wenye line moja si ilikua ni issue?mambo mengine huwa yanajibalance , hakuna zuri lisilokua na mapungufu, ila tunaangalia faida kubwa itakua wapi.Tumetoka mbali sana kwa upande wa gharama, toka malaki ya enzi hizo.

Kwa hili nawaunga mkono TCRA.
 
Sijui hawa watu wanawaza kwa kutumia akili gani, na cha kushangaza eti mkuruguenzi ni Profesa!!!
Wanaposema kwamba wanaanzisha utaratibu wa mtu kuweza kuhama na namba yake ya simu kutoka kampuni moja kwenda nyingine, nadhani ni upuuzi wa mwaka...
Yaani mathalani mtu ana namba 0754096210 ya voda, alafu anaamua kuhamia airtel, akitumia namba hiyo hiyo... Hawa watu wamesahau kwamba Gharama za kupiga simu ndani ya mtandao mmoja ni tofauti na gharama za kupiga simu kutoka mtandao mmoja kwenda mwingine?!. Kwa hiyo mi ambaye nilijua ndugu au rafiki yangu yupo voda, siku nikitaka kumpigia natumia line yangu ya voda ili kubana matumizi, kumbe mtu huyo alishahamia airtel na namba hiyo hiyo, so inakula kwangu!!!
Au TCRA wamejisahau kwa kuwa wao wana mihela na hawaangalii wanatumia line gani kupiga mtandao gani? Au wamesahau majority ya watanzania siku hizi wana line zaidi ya moja ili kubana matumizi?

Mi nadhani wawe wabunifu wa kweli, sio kukopi na kupesti tu kila wanachosikia huko nje...
Tuko, how much do you know about 'mobile number portability? Hii mbona iko sehemu nyingi sana duniani. Ukitaka kuhama mtandao unahama bila kubadilisha number, hakuna cha ajabu kiongozi. Ukipata wasaa google ili ujielimishe!
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nyinyi mnanichanganya,
wengine wanapenda wengine hawapendi..
Sasa tushaamua itakuwa hivyo.
Kama unapenda tumia, la hupendi acha kabisa kutumia simu. Bhaaaas!
 
....:)

Si utaratibu mbaya. Mfano;

......Uingereza network provider wako akiwa T-Mobile na unataka kuhamia Vodafone, Orange, O2, nk, lazima uwataarifu T-Mobile ambao wanakupa transfer charges na special code ya kuhama mtandao.

Hiyo mitandao, hata wao tarrifs zao, (na hata network reception) zinatofautiana.

Ni wajibu wako weye mhamaji 'kuwanusuru' ndugu, jamaa na marafiki na gharama mpya watazo incur kuwasiliana nawe (kwa namba waliyoizoea!)

Sawa mkuu but nitawanusuruje.... maana mtu anaangalia namba anakuta natumia voda, anachukua line yake ya voda anakwenda hewani. Ina maana baada ya kupiga ndo nimwambie ...kata bwana, hii ni laini ya tigo!!!...?
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
watu kwa nini mnaogopa mabadiliko?Mie nimeona hili ni miongoni mwa suala litakalosaidia sana kupunguza gharama za hawa watoa huduma, na pia kuongeza ubora wa huduma zao, kwani sasa yale mamitandao ya tunaongoza Tanzania itabidi yaboreshe huduma kutokana na ukweli kuwa mteja muda wowote ataweza kuswitch kwenda mtandao mwingine(naongelea flexibility)
kwa mf:juzi kuna mtandao ulikua down siku nzima,kwa wenye line moja si ilikua ni issue?mambo mengine huwa yanajibalance , hakuna zuri lisilokua na mapungufu, ila tunaangalia faida kubwa itakua wapi.Tumetoka mbali sana kwa upande wa gharama, toka malaki ya enzi hizo.

Kwa hili nawaunga mkono TCRA.

Sijui kama huu mpango utaweza kusaidia kwa ishu kama ile, maana process ya kuhama sio ya dakika moja... Kwa hiyo bado watu wangelia tu. Na ukizingatia mitandao yote Tz ni ya viwango vilevile, unahamia huku leo, kesho wanaharibu...
 
Tuko, how much do you know about 'mobile number portability? Hii mbona iko sehemu nyingi sana duniani. Ukitaka kuhama mtandao unahama bila kubadilisha number, hakuna cha ajabu kiongozi. Ukipata wasaa google ili ujielimishe!

Na hapa ndio mi ninapoona pana tatizo FJM ... Mathalani nina shida ya kuongea na mtaalamu wa kilimo, simjui bali nimepewa namba yake na mtu. Naicheki namba yake, naona ni ya voda, naenda dukani nanunua vocha ya voda ya buku, nikiamini nitaongea nae kwa dakika kama 10, na nitakuwa nimepata ushauri ninaoutaka, nampigia, gafla simu inakata baada ya dk 3, eti salio limeisha kwa sababu namba niliyodhani ni ya voda, kumbe ni airtel!!!
We unaona hiyo ni sawa mkuu, hasa kwa kuangalia kipato cha Mtanzania?
 
Last edited by a moderator:
Tuko, how much do you know about 'mobile number portability? Hii mbona iko sehemu nyingi sana duniani. Ukitaka kuhama mtandao unahama bila kubadilisha number, hakuna cha ajabu kiongozi. Ukipata wasaa google ili ujielimishe!

Mkuu Tuko, vipi kuhusu kuingiliana kwa namba, kama namba yangu inafanana na ya mtu mwingine ambaye yuko kwnye mtandao ninaohamia, hazitaweza kuingiliana kiasi cha watu wangu kuanza kutwanga kwenda kwake; na wa kwake kutwanga kuja kwangu ?
 
Last edited by a moderator:
Na hapa ndio mi ninapoona pana tatizo FJM ... Mathalani nina shida ya kuongea na mtaalamu wa kilimo, simjui bali nimepewa namba yake na mtu. Naicheki namba yake, naona ni ya voda, naenda dukani nanunua vocha ya voda ya buku, nikiamini nitaongea nae kwa dakika kama 10, na nitakuwa nimepata ushauri ninaoutaka, nampigia, gafla simu inakata baada ya dk 3, eti salio limeisha kwa sababu namba niliyodhani ni ya voda, kumbe ni airtel!!!
We unaona hiyo ni sawa mkuu, hasa kwa kuangalia kipato cha Mtanzania?

Challenging question
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Tuko, vipi kuhusu kuingiliana kwa namba, kama namba yangu inafanana na ya mtu mwingine ambaye yuko kwnye mtandao ninaohamia, hazitaweza kuingiliana kiasi cha watu wangu kuanza kutwanga kwenda kwake; na wa kwake kutwanga kuja kwangu ?

Hapa sidhani maana unahamisha hadi code... yaani kama code namba yako ya sasa ni 0787....... unahama nayo kwenda tigo!!!
 
Back
Top Bottom