Sasa kama Serikali inatumia nguvu kubwa kiasi hicho kuwatoa Wapangaji ambao wanadaiwa Kodi ya pango!!!!!
Sipati hoto:hoto: huku kwetu uswahilini wenye nyumba watatumia nguvu gani. maana Serikali inakuwa hivyo je, sisi raia pia tunaruhusiwa kutumia nguvu hivyo na kuwatoa wapangaji nje, kufunga mlango na magufuri!!!!!!!
Macho kibore...eti hakuna kitakachotoka hapa, iwe kwa damu ama kwa njia yeyote, kama mnabisha tuanze vita sahv! Mbona katiwa mbaloni sasa...kweli mkaidi hafaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.