Mpaka leo sijaweza kuelewa haya mambo. Nadhani hapa kuna Jambo lifanyike. Inasikitisha Sana

Pengine ni sababu ya kutumia muda mwingi kuzunguka Duniani. Nchi mbalimbali. Leo nilikuwa naangalia Ramani sijui nchi gani sijafika... Mbinguni tu ndo bado. Nmeshazunguka karibia Dunia nzima.

Hivi pale kwenye lile daraja la kigamboni gari huwa wanacharge kwa kuangalia thamani yake au inakuaje? Mimi nina bahati mbaya sana huwa mara nyingi nikitoa tsh 50,000 nikiwa na Mercedes Benz wanakubali na hata receipt wanashindwa kunipa. Siku nyingine natoa 100,000 nikiwa na GMC ya mwaka 2021 nayo hawanipi receipt.

Mpaka leo sijui hasa kiwango cha kulipa sahihi kwa daraja la Kigamboni. Na ninashangaa Serikali inashindwa hata kuwasaidia wale wafanya kazi pale wawe wanatoa risiti. Maana mara zote kwangu wanakuwa hawana risiti.

Haya ni mambo madogo madogo lakini yanadumaza uchumi. Na hili suala nimeliona hata kwa Traffic mara nyingi wakinisimamisha kwa sababu ya mwendo kasi (huwa najisahau nadhani nipo barabara za nchi za wenzetu) faini zao hazieleweki.

Wakati mwingine natoa 100,000 , wakati mwingine 200,000 kuna kipindi nilitoa 500,000 maana nikiwauliza ni tsh ngapi wanajiuma uma tu sijui wanaona aibu. Hivyo huwa navuta tu draw nawapa. Wanaanza hangaika kutaka kutoa risiti mashine zao mbovu.

Nami kwakuwa nakuwa na haraka naachana nao.sasa sielewi hasa shida nini kukosekana risiti na pia kuwa na malipo au faini ambazo ni constant?

Hili daraja la Tanzanite naona hata wenye tuvitz, subaru, toyota, nissan twao nao wanakuja kupita huku. Sidhani kama ni sawa. Unakuta gari inatoa moshi (mimi gari zangu sijajua shida nini huwa zinadondosha maji kwenye exaust pipe na jamaa wengi huja kukinga wanasema matamu ya baridi) unakuta wengine na usafiri wao una toa milio ya kusumbua samaki baharini. Nadhani pale pangewekwa tu utaratibu wa kulipia tsh 200,000 kuvuka.

Ili tuwe tunatumia sisi wenye magari na mambo ya msingi ya kufanya Mjini
Mfano pale Kigamboni kwa sisi wenye magari tukitozwa tsh 100,000- 200,000 si mbaya. Na wale wenye usafiri wawe wanalipa tu flat tsh 50,000. Maana nikiangalia lile daraja kwa nchi hii maskini walitumia pesa nyingi. Ndio maana huwa naona kuna askari wanalilinda lisije likaibwa. Ni jambo zuri lakini.

Nakubali mkuu
 
Huyu ni mwehu na ni mpumbavu! Watu wanasumbuliwa na Mwigulu na matozo ya kipumbavu yy analeta utani! Kuwa serious basi!
Sasa wewe unaleta makasiriko katika nyuzi za wenzio. Wewe kama unasumbuliwa na mwigulu si ukamkasirikie Mwigulu? Unaleta makasiriko kwa mtu ambaye hasumbuliwi? We vipi dada? Maisha yako yabaki kuwa yako. Sisi wengine tunapenda maisha mazuri kama ya Bill Lugano wewe kisirini,chuki,hasira na makasiriko peleka kwa hao wanaokusumbua.....
 
Pengine ni sababu ya kutumia muda mwingi kuzunguka Duniani. Nchi mbalimbali. Leo nilikuwa naangalia Ramani sijui nchi gani sijafika... Mbinguni tu ndo bado. Nmeshazunguka karibia Dunia nzima.

Hivi pale kwenye lile daraja la kigamboni gari huwa wanacharge kwa kuangalia thamani yake au inakuaje? Mimi nina bahati mbaya sana huwa mara nyingi nikitoa tsh 50,000 nikiwa na Mercedes Benz wanakubali na hata receipt wanashindwa kunipa. Siku nyingine natoa 100,000 nikiwa na GMC ya mwaka 2021 nayo hawanipi receipt.

Mpaka leo sijui hasa kiwango cha kulipa sahihi kwa daraja la Kigamboni. Na ninashangaa Serikali inashindwa hata kuwasaidia wale wafanya kazi pale wawe wanatoa risiti. Maana mara zote kwangu wanakuwa hawana risiti.

Haya ni mambo madogo madogo lakini yanadumaza uchumi. Na hili suala nimeliona hata kwa Traffic mara nyingi wakinisimamisha kwa sababu ya mwendo kasi (huwa najisahau nadhani nipo barabara za nchi za wenzetu) faini zao hazieleweki.

Wakati mwingine natoa 100,000 , wakati mwingine 200,000 kuna kipindi nilitoa 500,000 maana nikiwauliza ni tsh ngapi wanajiuma uma tu sijui wanaona aibu. Hivyo huwa navuta tu draw nawapa. Wanaanza hangaika kutaka kutoa risiti mashine zao mbovu.

Nami kwakuwa nakuwa na haraka naachana nao.sasa sielewi hasa shida nini kukosekana risiti na pia kuwa na malipo au faini ambazo ni constant?

Hili daraja la Tanzanite naona hata wenye tuvitz, subaru, toyota, nissan twao nao wanakuja kupita huku. Sidhani kama ni sawa. Unakuta gari inatoa moshi (mimi gari zangu sijajua shida nini huwa zinadondosha maji kwenye exaust pipe na jamaa wengi huja kukinga wanasema matamu ya baridi) unakuta wengine na usafiri wao una toa milio ya kusumbua samaki baharini. Nadhani pale pangewekwa tu utaratibu wa kulipia tsh 200,000 kuvuka.

Ili tuwe tunatumia sisi wenye magari na mambo ya msingi ya kufanya Mjini
Mfano pale Kigamboni kwa sisi wenye magari tukitozwa tsh 100,000- 200,000 si mbaya. Na wale wenye usafiri wawe wanalipa tu flat tsh 50,000. Maana nikiangalia lile daraja kwa nchi hii maskini walitumia pesa nyingi. Ndio maana huwa naona kuna askari wanalilinda lisije likaibwa. Ni jambo zuri lakini.
Ulianza vema lakini umepoteza uhalisia.
 
🤣🤣🤣 Hivi mheshimiwa hakuna nafasi ya uchawa niwe na kupraise tafadhali. Hali ngumu sana mheshimiwa. Tusaidie mheshimiwa utuletee hata shehena ya mafta utugawie bure sisi we tu vits
@kidukulilo kiboko ya wahaya. Anawajulia hasa.
 
Kidogo niamin ila ulipo sema gari lako linatoa maji na watu wanakinga na wanasema ni matamu nikaamin hii ni chai ya mwarobaini
Ni kweli. Gari ambayo engine yake iko intact
hutoa like-white vapor ikiambatana na drops ya maji. Ukiona gari inatoa moshi tena mweusi ujue hakuna engine hapo.
Pamoja na kwamba anawasilisha kwa utani wa kihaya lakini yupo sahihi kabisa.
 
Pengine ni sababu ya kutumia muda mwingi kuzunguka Duniani. Nchi mbalimbali. Leo nilikuwa naangalia Ramani sijui nchi gani sijafika... Mbinguni tu ndo bado. Nmeshazunguka karibia Dunia nzima.

Hivi pale kwenye lile daraja la kigamboni gari huwa wanacharge kwa kuangalia thamani yake au inakuaje? Mimi nina bahati mbaya sana huwa mara nyingi nikitoa tsh 50,000 nikiwa na Mercedes Benz wanakubali na hata receipt wanashindwa kunipa. Siku nyingine natoa 100,000 nikiwa na GMC ya mwaka 2021 nayo hawanipi receipt.

Mpaka leo sijui hasa kiwango cha kulipa sahihi kwa daraja la Kigamboni. Na ninashangaa Serikali inashindwa hata kuwasaidia wale wafanya kazi pale wawe wanatoa risiti. Maana mara zote kwangu wanakuwa hawana risiti.

Haya ni mambo madogo madogo lakini yanadumaza uchumi. Na hili suala nimeliona hata kwa Traffic mara nyingi wakinisimamisha kwa sababu ya mwendo kasi (huwa najisahau nadhani nipo barabara za nchi za wenzetu) faini zao hazieleweki.

Wakati mwingine natoa 100,000 , wakati mwingine 200,000 kuna kipindi nilitoa 500,000 maana nikiwauliza ni tsh ngapi wanajiuma uma tu sijui wanaona aibu. Hivyo huwa navuta tu draw nawapa. Wanaanza hangaika kutaka kutoa risiti mashine zao mbovu.

Nami kwakuwa nakuwa na haraka naachana nao.sasa sielewi hasa shida nini kukosekana risiti na pia kuwa na malipo au faini ambazo ni constant?

Hili daraja la Tanzanite naona hata wenye tuvitz, subaru, toyota, nissan twao nao wanakuja kupita huku. Sidhani kama ni sawa. Unakuta gari inatoa moshi (mimi gari zangu sijajua shida nini huwa zinadondosha maji kwenye exaust pipe na jamaa wengi huja kukinga wanasema matamu ya baridi) unakuta wengine na usafiri wao una toa milio ya kusumbua samaki baharini. Nadhani pale pangewekwa tu utaratibu wa kulipia tsh 200,000 kuvuka.

Ili tuwe tunatumia sisi wenye magari na mambo ya msingi ya kufanya Mjini
Mfano pale Kigamboni kwa sisi wenye magari tukitozwa tsh 100,000- 200,000 si mbaya. Na wale wenye usafiri wawe wanalipa tu flat tsh 50,000. Maana nikiangalia lile daraja kwa nchi hii maskini walitumia pesa nyingi. Ndio maana huwa naona kuna askari wanalilinda lisije likaibwa. Ni jambo zuri lakini.
Labda huko mto kagera.
 
Karibu sana, tulikumiss sana...
Kuna vitoto vitoto vingi JF siku hizi, kwa hiyo wavumilie tu na majibu yao.....
 
Kiduku Lilo naomba msaada wa lile friji lako kubwa kama chumba ambalo mwana JF alipotea akajua ni chumba.
 
Back
Top Bottom