Moyo wangu unaugua kwa ajili ya raia wa Afghanistan

Criterion

JF-Expert Member
Jan 8, 2008
11,796
11,882
Ndugu wasomaji, ni nini tunajifunza katika hali hii iliyoko Afghanistan?

Siku zote sijawahi kuwa na imani na unafiki wa watu wanaosema wanatetea dini lakini wakitoa watu kuwa sadaka kwa miungu. Wanalazimishsa kutawala kwa jina lolote lakini si kwa ajli ya watawaliwa.

Hivi utawala wa mabavu, siasa za kuangamiza watu kwa misingi ya dini isiyokubalika, ndio utawala wa shetani?

Moyo wangu unaugua sana kwa ajili ya raia wa Afghanstan. Ninaugua sana. Mungu nakuomba uwakumbuke hawa watoto wako unaowapenda katika nchi ya Afghan. Dunia imeshindwa kuwatetea lakini wewe unaweza. Dunia imeshindwa kuwalinda lakini wewe unaweza. Wametekwa ndani ya eneo ulilowapa na kwa mkono wa adui wa ndani sasa ni mateka. Maisha yao yamejaa mashaka bila tumaini.

MUNGU, KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYEHAI MILELE, KWA AGANO LA DAMU YA YESU, NAINAOMBA UWAKUMBUKE TAIFA LA AFGHANSTANI. NINAOMBA MUNGU UWAONYESHE UWEPO NA UPENDO WAKO. AHSANTE BABA KWA KUWA UNANISIKIA SIKU ZOTE. KWA JINA LA YESU NIMEOMBA - AMEN

 
Sema nini ndugu yangu acha unafiki utakufa mdomo wazi kabla aujayaona ya mwenzio ilibidi uyaone ya kwako na kuliombea taifa lako na viongozi wako waonevu wa haki kwa raia wake ungeiombea mahakama itende haki kwa walio bambikiziwa kesi hao unao waombea ni wabaguzi wa rang na roho mbaya juu
 
Uzuzu na ujinga kabisa, wale wana maisha yao, ghafla US kaingia na kuleta zao za demokrasia kumbe wana yao, huwezi ingia boma ya mtu na kulazimisha mila, desturi na utamaduni wa mtu, safi Taliban, Afghanistan imerudi kwa wenyewe..
Pia kumbuka pale ndo palikua kichaka cha magaidi maana wale km wataachwa hawa magaidi wadogo km boko haram,isis,janjawid na nk watapata sehem ya kuweka makazi bila buguza sasa ndo tujiandae kwa vifo vya kujitole mhanga .Osama pale ndo alikua ameweka kambi ndo maana marekani ilipoingia akakimbilia pakistan.
 
Sema nini ndugu yangu acha unafiki utakufa mdomo wazi kabla aujayaona ya mwenzio ilibidi uyaone ya kwako na kuliombea taifa lako na viongozi wako waonevu wa haki kwa raia wake ungeiombea mahakama itende haki kwa walio bambikiziwa kesi hao unao waombea ni wabaguzi wa rang na roho mbaya juu
Mkuu hilo jina lako, ukajengewe sanamu pale Shivazi.
 
Ndugu wasomaji, ni nini tunajifunza katika hali hii iliyoko Afghanistan?

Siku zote sijawahi kuwa na imani na unafiki wa watu wanaosema wanatetea dini lakini wakitoa watu kuwa sadaka kwa miungu. Wanalazimishsa kutawala kwa jina lolote lakini si kwa ajli ya watawaliwa.
Hivi utawala wa mabavu, siasa za kuangamiza watu kwa misingi ya dini isiyokubalika, ndio utawala wa shetani?

Moyo wangu unaugua sana kwa ajili ya raia wa Afghanstan. Ninaugua sana. Mungu nakuomba uwakumbuke hawa watoto wako unaowapenda katika nchi ya Afghan. Dunia imeshindwa kuwatetea lakini wewe unaweza. Dunia imeshindwa kuwalinda lakini wewe unaweza. Wametekwa ndani ya eneo ulilowapa na kwa mkono wa adui wa ndani sasa ni mateka. Maisha yao yamejaa mashaka bila tumaini.

MUNGU, KATIKA JINA LA YESU KRISTO ALIYEHAI MILELE, KWA AGANO LA DAMU YA YESU, NAINAOMBA UWAKUMBUKE TAIFA LA AFGHANSTANI. NINAOMBA MUNGU UWAONYESHE UWEPO NA UPENDO WAKO. AHSANTE BABA KWA KUWA UNANISIKIA SIKU ZOTE. KWA JINA LA YESU NIMEOMBA - AMEN


Jitambue
 
Pia kumbuka pale ndo palikua kichaka cha magaidi maana wale km wataachwa hawa magaidi wadogo km boko haram,isis,janjawid na nk watapata sehem ya kuweka makazi bila buguza sasa ndo tujiandae kwa vifo vya kujitole mhanga .Osama pale ndo alikua ameweka kambi ndo maana marekani ilipoingia akakimbilia pakistan.
Marekani wenyewe ni magaidi tu acha wengine nao wajifunze wawapelekee moto kwa vibaraka wao
 
Sema nini ndugu yangu acha unafiki utakufa mdomo wazi kabla aujayaona ya mwenzio ilibidi uyaone ya kwako na kuliombea taifa lako na viongozi wako waonevu wa haki kwa raia wake ungeiombea mahakama itende haki kwa walio bambikiziwa kesi hao unao waombea ni wabaguzi wa rang na roho mbaya juu
Anaugua kwa ajilo ya watu ambao hata hawajui ila anachekelea akina Mbowe na wengingine wakifungwa...
 
Sema nini ndugu yangu acha unafiki utakufa mdomo wazi kabla aujayaona ya mwenzio ilibidi uyaone ya kwako na kuliombea taifa lako na viongozi wako waonevu wa haki kwa raia wake ungeiombea mahakama itende haki kwa walio bambikiziwa kesi hao unao waombea ni wabaguzi wa rang na roho mbaya juu
Wewe ni binadamu wa aina ile ile ya huyo mudi aliyeanzisha ushtani huu. Wewe shetnai huna ubavu wa kunifundisha nini niombe.
 
Back
Top Bottom