The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Kumekucha, Kamanda James Ole Millya baada ya kuufuata upepo wa Mabadiliko unauvuma vizuri tu ndani ya Tanzania na kuanza kusomba ngome ya CCM- Staminaz ndani ya Arusha,Ataingia ndani ya ngome ya Ole Sendeka,hapa Simanjiro. Vijana wapatao 3,000 ndio watakao msindikiza Kamanda wao huku Simanjiro na kuanza kazi ya kufungua matawi ya Chadema ndani ngome ya Ole Sendeka ( CCM )na kilicho kibaya zaidi ni namna Ole Sendeka anavyo hahaaa kuuzia Maandamano hayo kwa kuwatumia Polisi ! Polisi nao wamekataa kumzuia Ole Millya kwa kudai kuwa ni mzawa wa Simanjiro na ana haki kufanya lolote la kisiasa ndani ya Simanjiro ! Upepo wa Movement for Change unamtisha sana Ole Sendeka.....!