Mwawado
JF-Expert Member
- Nov 2, 2006
- 993
- 252
..kwani hajaoa na picha zipo...kamuoa lilian kimaro wa BRELA.....
Kaka Phillemon Mikael zile picha zilizozagaa kwenye mitandao zinazomuonyesha Mzee Mengi na Lilian Sophia Kimaro haikuwa Harusi,kuna watu kwa makusudi kabisa walizichomoa picha za mwanadada huyo kwenye Facebook na kuzitundika kwenye email za watu na mitandao mbalimbali.