Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,236
- 113,610
Nakuelewa, sisemi ban udaku, nilichokua na maanisha ni sisi watanzania hatuna luxury ku intertain udaku katika kupitisha mada, tunachotaka ni kutumia taaluma katika kupitisha mada.
Wenzetu dunia ya kwanza have different problems not basic problems tunazokumbwa nazo sisi. Udaku is for leasure reading, na kuleta kicheko na utani katika siku iliyojaa ishuzz, hatuwezi tumia hizi wakati wa vita.
Mimi nikiamua kusoma udaku nasoma kwa burudani tu. Napembua pumba na mchele. Sasa kama wapo ambao wao huchukulia udaku kama taarifa ya habari za uhakika hilo ni juu lao.
Ninachojua ni kwamba hata iweje udaku hauwezi kupigwa vita. Ulikuwepo, upo, na utaendelea kuwepo.
Nakumbuka sana stori za Mchonga na kifimbo chake....nakumbuka sana stori Mchonga kuwashikisha watu ukuta na kuwacharaza mboko, mmojawapo akiwa Cigwiyemisi Malecela..lol.....huo haukuwa udaku
Au stori za Mwinyi kutoka na binti aliyekuwa akisoma Jangwani Sekondari....