Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,063
- 22,755
Mimi nadhani hii platform inataka kutumika ku-rehabilitate Mengi's image .
Platform ipi ? - hii JF unayoitumia na wewe ama nyingine. Does Mengi's image requires rehabilitation ? - mbele ya nani, mafisadi ?
I would care less wether ameoa au lah !
Then what the hell are you whining about.
Ila picha kama za faragha kama zile akiwa na mtoto ambaye anaweza kuwa mtoto wake , kwa mila zetu za kitanzania ni aibu !
Mila za kwenu wewe na nani ? - kwetu wengine ni heshima kubwa. Je, unajua mahusiano yake na huyo anayeweza kuwa mtoto wake ?
Nasijui hawa waandishi wanafanya nini , kama aikuwa harusi ilikuwa nini?
Hujui halafu unasema ni aibu - watu wengine bwana, are you sure you are okay ?
Hizi ni dalili za mafisadi kuanza kujikanganya na inaashiria kuwa kibano cha Mengi kinafanya kazi. Mimi si shabiki wa Mengi wala sina uhusiano naye, lakini kama maadui zake ndio maadui zangu namwambia dont give up the fight - tuko pamoja.