idoyo
JF-Expert Member
- Jan 13, 2013
- 3,050
- 1,401
Teh! Si uliuliza swali kuhusu mzunguko wa pesa?! Benki=PesaOna sasa, mnajichanganya wenyewe mara mapato ya serikali, mara sijui nini 😁 wewe umekuja na dadi ya benki tena, nyie watu bwana 😁
Faiza foxy alikosea kusema "Hizo shule mlienda kusomea ujinga"??